Napendekeza Bandari ya Dar es salaam ingehamia Dodoma

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,059
10,519
Kwa vile tulichagua wenyewe Dodoma kuwa makao makuu ya nchi basi ni vyema kuhakikisha huduma za kimsingi kama bandari zinahamia Mji mkuu ili kuwapa access wananchi wote Watanzania kuwa karibu na huduma hizo na kwa wakati huohuo itasaidia kupunguza population ya watu na malori kwenye mji wa Dar es salaam. Pia itakuwa tumewasogezea huduma za kibandari nchi zinazotegemea bandari ya Dar es salaam.

Inawezekana vipi? Twende taratibu na uhakika wote mtanielewa na kusupport hichi nacho kiandika jaribu kuangalia ukubwa wa Bandari ya Dar kuanzia pale posta kwenye boti za kuendea Zanzibar mpaka kurasini ni wazi lile eneo linaweza kupatikana Dodoma na likawa kubwa zaidi ya mara tano in terms la eneo la maji yaani base, miundombinu majengo pamoja na eneo kubwa la kuhifadhia shehena (container)

Linachimbwa eneo ili kuendana na kina cha bahari kitu kizuri ule udongo wausafirishe mpaka eneo la Jangwani kuwaondolea hadha ya mafuriko wakazi wa eneo hilo.

Sasa maji ya bahari pamoja na meli zitafikaje Dodoma kwenye hii dunia hakuna kinachoshindikana panapokuwa na nia ya kweli, nani leo angeweza kuamini ubunifu wa ndege inayobeba tani nyingi kupaa angani wakati wewe na kilo zako 60 unashindwa kuruka kama mmasai.

Jaribu kufuatilia ujenzi wa Suez canal na panama canal basi ni wazi tukiwa na nia na kuamua kuitekeleza basi the end of 2024 bahari inakuwa ishafika Dodoma na utendaji kazi unaanza rasmi.

Pata picha Dodoma itavyopendeza na kuwa na tija kiuchumi endapo bahari itakapokuwa ndani ya Dodoma.
 
Kwa vile tulichagua wenyewe Dodoma kuwa makao makuu ya nchi basi ni vyema kuhakikisha huduma za kimsingi kama bandari zinahamia Mji mkuu ili kuwapa access wananchi wote Watanzania kuwa karibu na huduma hizo na kwa wakati huohuo itasaidia kupunguza population ya watu na malori kwenye mji wa Dar es salaam. Pia itakuwa tumewasogezea huduma za kibandari nchi zinazotegemea bandari ya Dar es salaam.

Inawezekana vipi? Twende taratibu na uhakika wote mtanielewa na kusupport hichi nacho kiandika jaribu kuangalia ukubwa wa Bandari ya Dar kuanzia pale posta kwenye boti za kuendea Zanzibar mpaka kurasini ni wazi lile eneo linaweza kupatikana Dodoma na likawa kubwa zaidi ya mara tano in terms la eneo la maji yaani base, miundombinu majengo pamoja na eneo kubwa la kuhifadhia shehena (container)

Linachimbwa eneo ili kuendana na kina cha bahari kitu kizuri ule udongo wausafirishe mpaka eneo la Jangwani kuwaondolea hadha ya mafuriko wakazi wa eneo hilo.

Sasa maji ya bahari pamoja na meli zitafikaje Dodoma kwenye hii dunia hakuna kinachoshindikana panapokuwa na nia ya kweli, nani leo angeweza kuamini ubunifu wa ndege inayobeba tani nyingi kupaa angani wakati wewe na kilo zako 60 unashindwa kuruka kama mmasai.

Jaribu kufuatilia ujenzi wa Suez canal na panama canal basi ni wazi tukiwa na nia na kuamua kuitekeleza basi the end of 2024 bahari inakuwa ishafika Dodoma na utendaji kazi unaanza rasmi.

Pata picha Dodoma itavyopendeza na kuwa na tija kiuchumi endapo bahari itakapokuwa ndani ya Dodoma.
Hizo hela za kufanya hayo yote unazo..? Kuondoa watu kufumua miundo mbinu itakayo pisha hilo wazo lako. Aisee hili kalifanye ndotoni kiuhalisia ni impossible 100% kwa hapa Tanzania. Nchi ina mashida mengi afu ihangaike na wazo lisilowezekana. 🤣🤣🤣
 
Kwa vile tulichagua wenyewe Dodoma kuwa makao makuu ya nchi basi ni vyema kuhakikisha huduma za kimsingi kama bandari zinahamia Mji mkuu ili kuwapa access wananchi wote Watanzania kuwa karibu na huduma hizo na kwa wakati huohuo itasaidia kupunguza population ya watu na malori kwenye mji wa Dar es salaam. Pia itakuwa tumewasogezea huduma za kibandari nchi zinazotegemea bandari ya Dar es salaam.

Inawezekana vipi? Twende taratibu na uhakika wote mtanielewa na kusupport hichi nacho kiandika jaribu kuangalia ukubwa wa Bandari ya Dar kuanzia pale posta kwenye boti za kuendea Zanzibar mpaka kurasini ni wazi lile eneo linaweza kupatikana Dodoma na likawa kubwa zaidi ya mara tano in terms la eneo la maji yaani base, miundombinu majengo pamoja na eneo kubwa la kuhifadhia shehena (container)

Linachimbwa eneo ili kuendana na kina cha bahari kitu kizuri ule udongo wausafirishe mpaka eneo la Jangwani kuwaondolea hadha ya mafuriko wakazi wa eneo hilo.

Sasa maji ya bahari pamoja na meli zitafikaje Dodoma kwenye hii dunia hakuna kinachoshindikana panapokuwa na nia ya kweli, nani leo angeweza kuamini ubunifu wa ndege inayobeba tani nyingi kupaa angani wakati wewe na kilo zako 60 unashindwa kuruka kama mmasai.

Jaribu kufuatilia ujenzi wa Suez canal na panama canal basi ni wazi tukiwa na nia na kuamua kuitekeleza basi the end of 2024 bahari inakuwa ishafika Dodoma na utendaji kazi unaanza rasmi.

Pata picha Dodoma itavyopendeza na kuwa na tija kiuchumi endapo bahari itakapokuwa ndani ya Dodoma.
Unakuwa kama umekula bangi ila kwa maelezo marefu haya ni kama mtu alitulia chini..
 
Hizo hela za kufanya hayo yote unazo..? Kuondoa watu kufumua miundo mbinu itakayo pisha hilo wazo lako. Aisee hili kalifanye ndotoni kiuhalisia ni impossible 100% kwa hapa Tanzania. Nchi ina mashida mengi afu ihangaike na wazo lisilowezekana.
Ni wazo linalowezekana 100 percent ishu ni kuongea na wahisani na wawekazaji ili kuweza kupata funds maana tutakuwa tunaua ndege wengi kwa jiwe moja jaribu kufikiria kwenye aspect ya utalii kusafiri na boat tokea Zanzibar mpaka dom
 
Ni wazo linalowezekana 100 percent ishu ni kuongea na wahisani na wawekazaji ili kuweza kupata funds maana tutakuwa tunaua ndege wengi kwa jiwe moja jaribu kufikiria kwenye aspect ya utalii kusafiri na boat tokea Zanzibar mpaka dom
Achana na hilo wazo unachizika sio bure
 
Ni wazo linalowezekana 100 percent ishu ni kuongea na wahisani na wawekazaji ili kuweza kupata funds maana tutakuwa tunaua ndege wengi kwa jiwe moja jaribu kufikiria kwenye aspect ya utalii kusafiri na boat tokea Zanzibar mpaka dom
Maswala ya kuwaza kiondoa milima na miamba utawezana nayo..? Ukisikia sijuo huko arabia walihamisha bahari kule ni tambarare jangwani
 
Back
Top Bottom