rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
jamani tahadhari hii hapa,
wote mliokunywa kikombe kwa babu na kuacha kutumia dawa zenu yanaweza kuwakuta makubwa,
nina rafiki wa karibu alikuwa anatumia ARV alivyorudi kutoka kwa babu akaacha kutumia dawa zake,
kwa taarifa ugonjwa umerudi kwa kasi ya ajabu na kumtoa roho!
tahadhari chukua hatua!
wote mliokunywa kikombe kwa babu na kuacha kutumia dawa zenu yanaweza kuwakuta makubwa,
nina rafiki wa karibu alikuwa anatumia ARV alivyorudi kutoka kwa babu akaacha kutumia dawa zake,
kwa taarifa ugonjwa umerudi kwa kasi ya ajabu na kumtoa roho!
tahadhari chukua hatua!