Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Another BashiteHujui Makonda ndio mwenyeji wa wageni wote wanaoingia Dar, iwe wa kitaifa au kimataifa.?
Another BashiteHujui Makonda ndio mwenyeji wa wageni wote wanaoingia Dar, iwe wa kitaifa au kimataifa.?
Mkuu unategemea nini kutoka kwa Bashite ?Hapo mimi ndo nilipochoka! Yaani PM wa Ethiopia aje kutoa fursa bandari ya Dar es salaam!! Djbout aiache! Hata Sudan na Kenya nazo aziache!! Atoke kote huko hadi Tanzania wakati ni majuzi tu hapa wamejenga reli kutoka Ethiopia hadi Bandari ya Djibouti!!
Jamaa kichwani hazimo kabisa!
Division Ziro at work! Hapa sijaona hata akili ya Kuzaliwa.Mkuu unategemea nini kutoka kwa Bashite ?
Ukienda halafu usirushe hewani habari naona ni komoa piaNilifikiri wanahabari hawakuhudhuria kwenye huo mkutano, kumbe walienda duuuh!!!!!!!!!!!!
Bashite vs Vihiyo............Si wanahabari walisema hawatashirikiana naye
Na yule waziri anatawala Ethiopia kwa style za Rwanda, Uganda, Burundi, Congo, UturukiEthiopia yenyewe Njaa Kali. Maskini tunaalika Maskini tutaendelea kweli?
Nilisahau aisee; kumbe mtu mwenyewe ni Daudi Albert Bashite wa Kolomije ambae katumia miaka 6 MUCCOBS... nadhani MUHAS angetumia miaka 10 kabisa!!Mkuu unategemea nini kutoka kwa Bashite ?
Maji taka nayo pia maji mkuuMakonda ni maji utamtumia tu kwa namna yoyote
H
..katika maelezo yake anasema PM wa Ethiopia atatembelea bandari yetu na hiyo itakuwa ni fursa kwa Ethiopia kutumia ya Dsm!!
..nimeshangaa kweli kweli. sijui Jiografia ya Ethiopia kutumia bandari ya Dsm inafundishwa wapi.
H
..katika maelezo yake anasema PM wa Ethiopia atatembelea bandari yetu na hiyo itakuwa ni fursa kwa Ethiopia kutumia ya Dsm!!
..nimeshangaa kweli kweli. sijui Jiografia ya Ethiopia kutumia bandari ya Dsm inafundishwa wapi.
Nilisahau aisee; kumbe mtu mwenyewe ni Daudi Albert Bashite wa Kolomije ambae katumia miaka 6 MUCCOBS... nadhani MUHAS angetumia miaka 10 kabisa!!
Labda tumuulize mwenyewe... Daudi Albert Bashite, a.k.a Paul Makonda; hivi pale MUCCOBS ni shahada ipi inachukua miaka 6?!Miaka 6 !?? Alikuwa anachukua degree gani ?
Mwenye mbwa amesoma alama za nyakati sembuse kijibwa.Jamaa nasikia amekua mpole kweli kweli sasa hivi.....