Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Hii ni nini sasa?
Defender mingi hivyo za nini?? Maji ya kuwasha ya nini??
Obviously watakuwa pia armed, ya nini??
Usipinge M4C kwa risasi, usipinge Maandamano kwa Mabomu, ewe CCM sikia kilio cha sisi masikini, turekebishie hali,
bei shusha,
urasimu ni tabu tupu,
ufaulu wa wanetu,
mikopo watoto wetu vyuoni,
kazi kwa sisi graduates na tusio graduates,
mikopo tufanye biashara etc
Mkirahisiha hayo mbona hamtatumia polisi, washawasha, risasi na mabomu. And if you weigh the costs of supressing the demostrations asee ni kubwa sana, si ni bora mtupunguzie ugumu wa maisha (najua mnaweza).
Lakini until then mtuache tu sisi tukasikilize ukweli, tukapate tumaini jipya, mtuache tuingie baabarani kuzikomboa na fikra za waliobakia.
Round hii msing'oe kucha tu , ngoeni kidole chote na kama haitoshi ng'oeni hata roho. Ila kama pumzi ninayo its M4C leo, kesho, kesho kutwa mpaka kieleweke.
Risasi Huisha, Vitisho Navyo Pia. Ukweli husimama daima.
Defender mingi hivyo za nini?? Maji ya kuwasha ya nini??
Obviously watakuwa pia armed, ya nini??
Usipinge M4C kwa risasi, usipinge Maandamano kwa Mabomu, ewe CCM sikia kilio cha sisi masikini, turekebishie hali,
bei shusha,
urasimu ni tabu tupu,
ufaulu wa wanetu,
mikopo watoto wetu vyuoni,
kazi kwa sisi graduates na tusio graduates,
mikopo tufanye biashara etc
Mkirahisiha hayo mbona hamtatumia polisi, washawasha, risasi na mabomu. And if you weigh the costs of supressing the demostrations asee ni kubwa sana, si ni bora mtupunguzie ugumu wa maisha (najua mnaweza).
Lakini until then mtuache tu sisi tukasikilize ukweli, tukapate tumaini jipya, mtuache tuingie baabarani kuzikomboa na fikra za waliobakia.
Round hii msing'oe kucha tu , ngoeni kidole chote na kama haitoshi ng'oeni hata roho. Ila kama pumzi ninayo its M4C leo, kesho, kesho kutwa mpaka kieleweke.
Risasi Huisha, Vitisho Navyo Pia. Ukweli husimama daima.