CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 285
Wakati M4C KANDA YA KATI maandalizi yake yakiwa YAMEKAMILIKA.
Taarifa nilizosikia muda si mrefu ni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la polisi wamesema ole wao CHADEMA wajitokeze kiama chao watakiona.
Tayari Ulinzi mkali kuanzia usiku huu umeimarishwa huku Magari ya Kuwasha pamoja na Defender zaidi ya 100 zinaranda randa kila kona.
Sababu zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa: '' Bunge linaendelea....''
Polisi: ''....mchungaji Mwakasege amewahi UWANJA kabla ya CHADEMA...''
Source: WAPO FM.
Taarifa nilizosikia muda si mrefu ni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na Jeshi la polisi wamesema ole wao CHADEMA wajitokeze kiama chao watakiona.
Tayari Ulinzi mkali kuanzia usiku huu umeimarishwa huku Magari ya Kuwasha pamoja na Defender zaidi ya 100 zinaranda randa kila kona.
Sababu zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa: '' Bunge linaendelea....''
Polisi: ''....mchungaji Mwakasege amewahi UWANJA kabla ya CHADEMA...''
Source: WAPO FM.