Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
njoo na yule shori basi wa kwenye blogu yako....- Mkuu safari hii ninakuja nijioneee mwenyewe M4Cee, peoples power are you coming? Wallahi this one I am coming!!
William.
njoo na yule shori basi wa kwenye blogu yako....- Mkuu safari hii ninakuja nijioneee mwenyewe M4Cee, peoples power are you coming? Wallahi this one I am coming!!
William.
- Mkuu safari hii ninakuja nijioneee mwenyewe M4Cee, peoples power are you coming? Wallahi this one I am coming!!
William.
Mkuu william,
I like your positive attitude. Karibu sana.Hii nchi ni yetu sote wala hatuhitaji kunyang'anyana fito.
- Mkuu safari hii ninakuja nijioneee mwenyewe M4Cee, peoples power are you coming? Wallahi this one I am coming!!
William.
Kwenye uwanja uliotumika kutangaza the list of shame!
Hawana Jipya CDM.... Niache shughuli zangu za muhimu nawaangalia wao, wananisaidia nini.. Poor u. Fooled by these politicians.. Laiti mngeyajua maisha wanayoishi hao viongozi wa Chadema.. Haya potezeweni muda hiyo j'mosi
Ni kweli mkuu ITV itarusha Live kuanzia saa 10 jioni
W. J. Malecela, Rejao na ritz tunawakaribisha sana Jumamosi pale Jangwani. Mje muone jinsi tunavyohutubia mikutano ya kisiasa kisayansi. Kumbukeni hakutakuwa na Tshirt, Kofia, Wali wala Usafiri. Vyote unajitegemea mwenyewe. So msije mkaja vifua wazi mkategemea mtapata Tshirt.
TUMBIRI wa JF,
tumbiri@jamiiforums.com
arusha wamelia mpaka machozi yamewakaukia walipoona wahindi wanavaa magwanda!Malecela uje na taulo la kufutia machozi maana utalia sana utakapo ona jinsi li chama la mzee alilo kurithisha wewe na wajukuu linavyo elekea kaburini.