Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
si wako na katiba inasema 'zanzibar ni nji', asa wanataka kudai nji gani tena?
Wapewe wanachotaka, ila mjuwe mahali pa kuwapeleka wapemba.Walikubaliwa kuwekeza bara kama watanzania, Tanganyika ikirudi, watafukuzwa bara kwasababu si watanganyika by default.Zanzibar waachieni Tanganyika wapumuwe.
Haya someni hili tangazo linalosambazwa mitandaoni halafu wale waliokuwa wakiniita mchochezi na nina chuki binafsi kwa wazanzibari wajiulize kwanza....
KUMEKUCHA!! SASA MAMLAKA KAMILI NI LAZIMA KAMA HAKUNA 3 NA MBILI HAZIPO WAZANZIBARI WOTE KUKUTANA KIWANJA CHA DEMOKRASIA 26/3/2014
,Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake , wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumatano ya tarehe 26/03/2014 katika viwanja vya Demokrasia, Kibanda Maiti kuanzia saa 8:00 barabara za Mchana mpaka saa 12:00 za jioni.
Mgeni rasmi katika Mkutano huo ni Nahodha wa safari ya kuelekea katika mamlaka kamili ya Zanzibar, Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Alhakiir Maalim Seif Sharif Hamad. Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika mkutano ni jee safari ya kuelekea mamlaka kamili imefikia wapi? Jee Kikwete, CCM na vibaraka wachache wa Zanzibar wataweza kutuondosha katika mstari wa madai yetu? Jee mpango wa CCM wa kumtanguliza Warioba kwa kuvunja kanuni za Bunge la Katiba kwa lengo la Kumleta Kikwete kuponda mapendekezo ya Warioba utafanikiwa kusitisha safari hii ya wazanzibari? Nini wazanzibari wanapaswa kutarajia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI!
HAKI!
KILA LA KHERI JAMAA ZETU, SISI TUMEISHATAYARISHA KARATASI NA KALAMU KUANDIKA TALAKA...
tunataka nchi yetu zanzibar - YouTube
Kwanini Tanganyika wanaigopa nchi yao? Jiulize kunani hapo!
Twende wazanzibari!
Mie kafu banaa..ni wewe kweli au wamehack id yako??
hamna jipya CUF, mzalendo wa kweli ni nani? au unaongelea wapenda madalaka? utakuwa na uwelewa wa kupambanua lini? mbona nakuona kama mwenye uwelewa wa kutosha tatizo ni nini? au ubongo wa sokwe?Haya someni hili tangazo linalosambazwa mitandaoni halafu wale waliokuwa wakiniita mchochezi na nina chuki binafsi kwa wazanzibari wajiulize kwanza....
KUMEKUCHA!! SASA MAMLAKA KAMILI NI LAZIMA KAMA HAKUNA 3 NA MBILI HAZIPO WAZANZIBARI WOTE KUKUTANA KIWANJA CHA DEMOKRASIA 26/3/2014
,Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake , wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumatano ya tarehe 26/03/2014 katika viwanja vya Demokrasia, Kibanda Maiti kuanzia saa 8:00 barabara za Mchana mpaka saa 12:00 za jioni.
Mgeni rasmi katika Mkutano huo ni Nahodha wa safari ya kuelekea katika mamlaka kamili ya Zanzibar, Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Alhakiir Maalim Seif Sharif Hamad. Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika mkutano ni jee safari ya kuelekea mamlaka kamili imefikia wapi? Jee Kikwete, CCM na vibaraka wachache wa Zanzibar wataweza kutuondosha katika mstari wa madai yetu? Jee mpango wa CCM wa kumtanguliza Warioba kwa kuvunja kanuni za Bunge la Katiba kwa lengo la Kumleta Kikwete kuponda mapendekezo ya Warioba utafanikiwa kusitisha safari hii ya wazanzibari? Nini wazanzibari wanapaswa kutarajia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI!
HAKI!
KILA LA KHERI JAMAA ZETU, SISI TUMEISHATAYARISHA KARATASI NA KALAMU KUANDIKA TALAKA...
Acha kupotosha umma Wapemba wana ndugu zao wengi bara na wanapendana na ndugu zao na Ukumbuke kuwa patakuwa na serikali na sheria za nchi kama kawaida.
Wapemba ni watu wacheshi sana hakuna mbara anayewachukia.
CCM ndiyo inayowachukia wapemba na Wachaga.
Haya someni hili tangazo linalosambazwa mitandaoni halafu wale waliokuwa wakiniita mchochezi na nina chuki binafsi kwa wazanzibari wajiulize kwanza....
KUMEKUCHA!! SASA MAMLAKA KAMILI NI LAZIMA KAMA HAKUNA 3 NA MBILI HAZIPO WAZANZIBARI WOTE KUKUTANA KIWANJA CHA DEMOKRASIA 26/3/2014
,Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake , wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumatano ya tarehe 26/03/2014 katika viwanja vya Demokrasia, Kibanda Maiti kuanzia saa 8:00 barabara za Mchana mpaka saa 12:00 za jioni.
Mgeni rasmi katika Mkutano huo ni Nahodha wa safari ya kuelekea katika mamlaka kamili ya Zanzibar, Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Alhakiir Maalim Seif Sharif Hamad. Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika mkutano ni jee safari ya kuelekea mamlaka kamili imefikia wapi? Jee Kikwete, CCM na vibaraka wachache wa Zanzibar wataweza kutuondosha katika mstari wa madai yetu? Jee mpango wa CCM wa kumtanguliza Warioba kwa kuvunja kanuni za Bunge la Katiba kwa lengo la Kumleta Kikwete kuponda mapendekezo ya Warioba utafanikiwa kusitisha safari hii ya wazanzibari? Nini wazanzibari wanapaswa kutarajia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI!
HAKI!
KILA LA KHERI JAMAA ZETU, SISI TUMEISHATAYARISHA KARATASI NA KALAMU KUANDIKA TALAKA...
Umeingia lini huko?Mie kafu banaa..
Haya someni hili tangazo linalosambazwa mitandaoni halafu wale waliokuwa wakiniita mchochezi na nina chuki binafsi kwa wazanzibari wajiulize kwanza....
KUMEKUCHA!! SASA MAMLAKA KAMILI NI LAZIMA KAMA HAKUNA 3 NA MBILI HAZIPO WAZANZIBARI WOTE KUKUTANA KIWANJA CHA DEMOKRASIA 26/3/2014
,Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake , wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumatano ya tarehe 26/03/2014 katika viwanja vya Demokrasia, Kibanda Maiti kuanzia saa 8:00 barabara za Mchana mpaka saa 12:00 za jioni.
Mgeni rasmi katika Mkutano huo ni Nahodha wa safari ya kuelekea katika mamlaka kamili ya Zanzibar, Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Alhakiir Maalim Seif Sharif Hamad. Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika mkutano ni jee safari ya kuelekea mamlaka kamili imefikia wapi? Jee Kikwete, CCM na vibaraka wachache wa Zanzibar wataweza kutuondosha katika mstari wa madai yetu? Jee mpango wa CCM wa kumtanguliza Warioba kwa kuvunja kanuni za Bunge la Katiba kwa lengo la Kumleta Kikwete kuponda mapendekezo ya Warioba utafanikiwa kusitisha safari hii ya wazanzibari? Nini wazanzibari wanapaswa kutarajia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!
TUNATAKA NCHI YETU SASA TUMECHOKA TAFRANI!
HAKI!
KILA LA KHERI JAMAA ZETU, SISI TUMEISHATAYARISHA KARATASI NA KALAMU KUANDIKA TALAKA...