Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Duh! Balaa!
Kuna mtu anaitwa KIBODYA pale NBC ni corrupt sana [ anauza kesi za benki] amepona?
Kuna mtu anaitwa KIBODYA pale NBC ni corrupt sana [ anauza kesi za benki] amepona?
Barua imeishia Kati ndugu, fanya makaratee tupate page two basi, hiyo link inanigomea na simu tochi
Lakini nakumbuka Mh.Rais wakati anataja mabadiliko ya baraza lake jipya la mawaziri hili la mwisho alisema kuwa "kama kuwajibika kulikopelekewa na mawaziri hao kumesababishwa na watu fulani au shirika fulani basi nao lazima watawajibishwa"
Sasa yawezekana fagio hili linahusika na utekelezwaji wa ile ahadi!!