Njaa
JF-Expert Member
- Dec 6, 2009
- 1,013
- 391
Wakuu naomba ushauri....
Mwenzenu mshahara wangu take home ni 800 000/-, nataka kukopa CRDB kama Ths 10 million hivi ili ninunue kiwanja, siewezi kukopa nje ya CRDB maana hapa kazini wana mkataba na CRDB tu, sasa naomba mnipe mwanga kuhusu huu uamumuzi je ni wa busara? nataka kulipa kwa miaka 3, vipi rates zao? kuna alternative gani kama CRDB ni kimeo?
Jamani nipeni mawazo....
Nawakilisha
Mwenzenu mshahara wangu take home ni 800 000/-, nataka kukopa CRDB kama Ths 10 million hivi ili ninunue kiwanja, siewezi kukopa nje ya CRDB maana hapa kazini wana mkataba na CRDB tu, sasa naomba mnipe mwanga kuhusu huu uamumuzi je ni wa busara? nataka kulipa kwa miaka 3, vipi rates zao? kuna alternative gani kama CRDB ni kimeo?
Jamani nipeni mawazo....
Nawakilisha