nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,452
- 9,489
mm nilikopa nikanunua gari.....ni tofauti tu ya vipaumbele, taabu ya usafiri ilinishinda......
mbona fresh tu, kuna mtu kakopa gari na kila siku akienda kazini anakula vichwa na akirudi anakula vichwa pia,mafuta,matengenezo na hela ya kula anaipata hukohuko