Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Kwa vituo takribani 52, 000 Chadema ilipaswa kutumia bilioni tatu kuwalipa mawakala kwa vituo vyote nchi nzima na kwa shilingi elfu hamsini kwa kila wakala.................kwa kutofanya hivyo na kuwategemea wagombea udiwani na ubunge kuwagharimia mawakala ulikuwa ni mkono wa birika ambao sasa machungu yake wote tunayaona..........
Pale ambapo NEC iliyoteuliwa na CCM ilipoamua kutowalipa mawakala Chadema ilipaswa kushtuka kuwa ni mkakati mzito wa CCM wa kuwarubuni mawakala kusaini matokeo ambayo yawezekana siyo sahihi....................Taarifa nilizonazo Chadema wanadai wanazo takwimu ambazo zaonyesha Dr. Slaa kashinda Uraisi.....kama hizo taarifa ni kweli basi mkakati wao ulikuwa ni sahihi.............lakini kama siyo ni kweli basi kurudia kuhesabu kura katika chaguzi zote zenye utata ni jambo la muhimu kwa minajili ya kuwatoa hofu wapigakura kama kweli sauti yao haikudhulumiwa na ufisadi wa CCM...........................
Hili ni la muhimu hata kwa CCM yenyewe katika kuweza kupata uhalali wa kuongoza nchi bila ya zengwe na mashaka kuwa ni dhuluma tu ndiyo inawaweka madarakani..........na aliyeingia madarakani kwa dhuluma ataendeleza dhuluma kubaki madarakani na katika kuwatumikia raia....
Huko tuendako Chadema iwe na mkakati wa kuweka fungu mapema la kuwalipa mawakala nchi nzima kuondokana na wasi wasi kuwa mawakala wana ukata mkubwa kiasi kuwa waweza kununuliwa........uwakala ni kazi yenye kustahili kuheshimiwa kwa malipo pamoja na kuwepo punje punje za kujitolea................
Pale ambapo NEC iliyoteuliwa na CCM ilipoamua kutowalipa mawakala Chadema ilipaswa kushtuka kuwa ni mkakati mzito wa CCM wa kuwarubuni mawakala kusaini matokeo ambayo yawezekana siyo sahihi....................Taarifa nilizonazo Chadema wanadai wanazo takwimu ambazo zaonyesha Dr. Slaa kashinda Uraisi.....kama hizo taarifa ni kweli basi mkakati wao ulikuwa ni sahihi.............lakini kama siyo ni kweli basi kurudia kuhesabu kura katika chaguzi zote zenye utata ni jambo la muhimu kwa minajili ya kuwatoa hofu wapigakura kama kweli sauti yao haikudhulumiwa na ufisadi wa CCM...........................
Hili ni la muhimu hata kwa CCM yenyewe katika kuweza kupata uhalali wa kuongoza nchi bila ya zengwe na mashaka kuwa ni dhuluma tu ndiyo inawaweka madarakani..........na aliyeingia madarakani kwa dhuluma ataendeleza dhuluma kubaki madarakani na katika kuwatumikia raia....
Huko tuendako Chadema iwe na mkakati wa kuweka fungu mapema la kuwalipa mawakala nchi nzima kuondokana na wasi wasi kuwa mawakala wana ukata mkubwa kiasi kuwa waweza kununuliwa........uwakala ni kazi yenye kustahili kuheshimiwa kwa malipo pamoja na kuwepo punje punje za kujitolea................