WanaCCM Wanavyoiangamiza CCM na Kuistawisha CHADEMA

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,060
Siku hizi, baadhi ya wanaCCM wajinga wamekuwa wakiangamiza CCM, huku wenyewe wakiamini wanaisaidia.

Siku hizi, mara nyingi mtu akiongelea haki au demokrasia, wanaCCM hao wajinga utawasikia wakimsema mtu huyo ni CHADEMA.

Hata kiongozi wa dini akiongelea tu suala la haki au demokrasia au kupinga ufisadi, wanaCCM hao wajinga utawasikia wakimsema kuwa kiongozi huyo atakuwa ni CHADEMA.

Tafsiri yake, kwa mtu mwenye akili timamu, ina maana CHADEMA ndiyo chama cha haki na demokrasia, na CCM ni chama kinacholinda dhuluma na ufisadi. Maana kila anayepinga dhuluma wanamsema kuwa ni CHADEMA. Ikimaanisha kuwa ndani ya CCM hawataki hak wala demokrasia, na wanalinda ufisadi.
 
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Na ukisema "yale Mazezeta yanajua sana kukata viuno aisee..." utawasikia uvccm wakikujibu "wale wenzetu wale..."😁
 
Na ukisema "yale Mazezeta yanajua sana kukata viuno aisee..." utawasikia uvccm wakikujibu "wale wenzetu wale..."

Kwa UVCCM, hakuna lililo baya alimradi limefanywa na kiongozi wa CCM au serikali.
 
Siku hizi, baadhi ya wanaCCM wajinga wamekuwa wakiangamiza CCM, huku wenyewe wakiamini wanaisaidia.

Siku hizi, mara nyingi mtu akiongelea haki au demokrasia, wanaCCM hao wajinga utawasikia wakimsema mtu huyo ni CHADEMA.

Hata kiongozi wa dini akiongelea tu suala la haki au demokrasia au kupinga ufisadi, wanaCCM hao wajinga utawasikia wakimsema kuwa kiongozi huyo atakuwa ni CHADEMA.

Tafsiri yake, kwa mtu mwenye akili timamu, ina maana CHADEMA ndiyo chama cha haki na demokrasia, na CCM ni chama kinacholinda dhuluma na ufisadi. Maana kila anayepinga dhuluma wanamsema kuwa ni CHADEMA. Ikimaanisha kuwa ndani ya CCM hawataki hak wala demokrasia, na wanalinda ufisadi.
siku Mbowe akiwa Marehemu na Chadema itaoza kwa kuwa saa hizi ishakuwa marehemu
 
Back
Top Bottom