JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Mkoa mzima wa Dar Es Salaam una mbunge mmoja wa jimbo la Ubungo, Mh. John John Mnyika! Anayebisha amtaje mbunge mwingine kama yupo tofauti na Mnyika.
Mkoa mzima wa Dar Es Salaam una mbunge mmoja wa jimbo la Ubungo, Mh. John John Mnyika! Anayebisha amtaje mbunge mwingine kama yupo tofauti na Mnyika.
Halima Mdee leo mmemkana habari njema.
makongoro mahanga
watu wakishajua ku type kwenye computer na kutumia net matatizo sana. Mazoezi yao wanakuja kufanyia humu jf
haswaa... Akifuatiwa kwa karibi sana na Abas Mtemvu wa Temeke
haswaa... Akifuatiwa kwa karibi sana na Abas Mtemvu wa Temeke