Habari wanajamii, hope mko bien wote. Jaman me nnatatizo linanikwaza sana. Hapa ofisin natumika na mkaka mmoja . Sina mahusiano nae zaidi ya kikaz na wala hajawahi kunitongoza. Ila ananisifia sana kikazi, na shughuli zangu za ujasiliamali kwa watu mbalimbali ambao wamemwambia mkewe. Me pia nilimshauri hadi kafikia kuanzisha miradi kwa msaada wa some ideas toka kwangu. Tatizo linakuja mke wake hana amani kabisa juu yangu . Nimejaribu kumwambia ukweli hataki kuelewa. Naombeni ushauri nifanyeje kurudisha amani.