Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Hata baada ya tuhuma lukuki za rushwa na ubadhilifu, familia ya mwanasiasa wa kinyantuzu, Andrew Chenge, imezidi kujiimalisha kisiasa baada ya mkewe kupitishwa na chama chake kuwania ubunge viti maalum mkoa mpya wa Simiyu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.
Na taarifa za kuaminika ni kwamba Chenge atashinda kwa kura nyingi sana kwani wananchi wa huko bariadi, wanyantuzu, wanachojali ni pesa, hata kama zitatolewa na majini ya Sheikh Yahya wao hawana noma. Hapa kama kuna mwenye matumaini ya kupambana na ufisadi inabidi ajiulize upya na ikiwezekana kubadilisha mbinu kuwahamasisha waondokane na wendawazimu wa aina hii
Na kuna taarifa pia kuwa kuna wachina wamepelekwa kule na mwenyekiti wa chama Twawala ndugu Jakaya kwenda kuwaghiribu wapiga kura kuwa barabara ile inawekewa lami, wakati hakuna bajeti ya kitu kama hicho mwaka huu.