Lenana
JF-Expert Member
- Oct 10, 2010
- 421
- 79
Polisi imeua raia mmoja wa Kenya Ndugu Paul Njuguna Kaiyehe (Polisi walitumia jina la uongo kuficha uraia wake - George Mwita Waitara).
Huyu ndugu ni raia wa Kenya kwa uthibitisho wa balozi mdogo wa Kenya anayehudumu jijini Arusha Ndugu Mathenge raia huyo wa Kenya aliyeuawa ni Mwanaume umri wa miaka 26 na alipigwa risasi ya moto tumboni na hii imedhibitishwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha.
Vilevile kuna taarifa za kuaminika kutoka kwa wahanga wa machafuko ya juzi kuwa polisi iliwaua raia wengi takribani zaidi ishirini na saba na maiti zao zimesambazwa katika mochuari za mikoa ya manyara, Arusha na Kilimanjaro uthibitisho halisi ni hospitali ya KCMC maiti mbili za wanaume zimepelekwa na polisi siku ya tarehe 6 januari 2011 zina majeraha ya risasi rekodi inaonyesha "unknown".
Mgonjwa mmoja amelazwa KCMC wodi surgical one alipigwa risasi na polisi maeneo ya Meru primary jijini Arusha akiwa katika shuguli zake alizirai na kujikuta yupo KCMC ana maumivu makali kifuani na amepigwa risasi ya moto mguuni!
Huyu ndugu ni raia wa Kenya kwa uthibitisho wa balozi mdogo wa Kenya anayehudumu jijini Arusha Ndugu Mathenge raia huyo wa Kenya aliyeuawa ni Mwanaume umri wa miaka 26 na alipigwa risasi ya moto tumboni na hii imedhibitishwa na Mganga mkuu wa mkoa wa Arusha.
Vilevile kuna taarifa za kuaminika kutoka kwa wahanga wa machafuko ya juzi kuwa polisi iliwaua raia wengi takribani zaidi ishirini na saba na maiti zao zimesambazwa katika mochuari za mikoa ya manyara, Arusha na Kilimanjaro uthibitisho halisi ni hospitali ya KCMC maiti mbili za wanaume zimepelekwa na polisi siku ya tarehe 6 januari 2011 zina majeraha ya risasi rekodi inaonyesha "unknown".
Mgonjwa mmoja amelazwa KCMC wodi surgical one alipigwa risasi na polisi maeneo ya Meru primary jijini Arusha akiwa katika shuguli zake alizirai na kujikuta yupo KCMC ana maumivu makali kifuani na amepigwa risasi ya moto mguuni!