Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
wakati mwingine mwenzi wako anaweza akakupa sababu ya kutomwamini.........
Leo naona umeaka vizuri, yaani kila ukabandika ni pointi, bila kujali ''thread'' imelalia kwenye jinsia gani! Safi sana!
wakati mwingine mwenzi wako anaweza akakupa sababu ya kutomwamini.........
Mbunifu! Lakini waapi siku hizi "mi-doublediff" haiogopi wanaume za watu kabisa tena ndiyo inapenda inasema wanajua kulea! sema labda kama umezoeahawa wa kudanganya kuwaoa.
Ulinzi huo Mkuu... Mwanamke atamlinda mume wake.. Hapo yuko kazini.. USIVITOE mpe heshima yake..
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
Mke wangu naona ana wivu! Hivi karibuni ameweka pair moja ya mchuchumio wake matata sana ndani ya gari langu kwenye kiti cha mbele sehemu ya kuwekea miguu. (Muhimu: yeye pia ana gari lake lakini hajaweka kwake!!!)
Nilipomuuliza mbona unaweka hapa imekuwaje? Akanijibu kwa upole sana...'mume wangu nakupenda sana, na kama unanipenda pia basi naomba hivi viatu vyangu usivitoe hapa'.....
Habari ndiyo hiyo wakuu, nifanyeje? Nivitoe kwa nguvu? Je, anadhani mimi waga nawapa lifti wadada? Je, ni wivu unamsumbua?
Pape be a real man and take out that pair of shoes.... tell her I dont want no shoes in my car...
Salute Mkuu Mwiba. Umenena vema sana...Ignore 'them' (viatu)!,
hiyo ni sawa na wale wanaoweka kibao getini eti "MBWA MKALI SANA!"
Otherwise mwambie ndio anawavutia wezi tu sasa!
Hili nalo neno, maana itakuwa ngoma drooDawa ya moto ni moto. Mawe piga mmbuti wako kwenye hiyo gari yake.