Selemani Sele
Senior Member
- Feb 25, 2023
- 155
- 414
💯✊️dah baada ya kujibu hivo nilimlamba bonge ya kibao akaondoka kwenda kulala.
Anatha dei tu bi alaivu anatha stori katika pita pita zetu tumshauri.
Nina mwanamke ambae ni mke wangu wa ndoa naishi nae mwaka wa tano huu, sasa bhana usiku wa kuamkia leo yani jumapili kuamkia jumatatu ya krismass, baada ya kumaliza kula tukawa tunaangalia movie sasa mida ya saa tano akapigiwa sm kucheki jina Matty, nikamuuliza nani huyo anakupigia sm mda huu akajibu achana nae, dah sikuridhika nikamwambia pokea sm akakataa, sm ikakata akapiga tena mimi nikaichukua ile sm ile nataka kupokea, akaniambia kuliko upokee hio sm ni bora tuachane asee daah nilihisi kama nimepigwa shoti sikuamini nlichokiskia, sema nikasema hapa ndo kwenyewe, nikaipokea ile sm, sauti ya kiume, Mazungumzo;Hallo, hallow..Mimi; Mambo vipi..Matty; Poa inakuajeMimi; Fresh mbona sm usiku usiku kwa mke wangu shida nini? Matty; Mke wakoo??? Mimi; daah moyo ukapasuka paah.. kwa hilo swali lake yani ni kama amekua suprised, nikamjibu ndio mke wangu .Matty; Pole sana mimi huyo mwanamke ameshaniambiaga hana mume aliolewa ila ameachana na mume wako mda mrefu sana wamebaki kama wazazi tuu ndio maana unaona napiga sm mpka mda huu nikiamini hana mtu sasa nimeshangaa kuskia ni mke wa mtu.Mimi; Daah kwa hio sasa hivi uko nae kwenye mahusiano yani unamahusiano nae? Matty; Hilo swali muulize yeye.Mimi; daah,, sawa kaka nashukururu usiku mwema.Matty ; Asante na kwako pia.Nikamrudia wife nikamuuliza kwa upole tuu mke wangu ni nini hiki kilichotokea ni nini kinachoendelea mbona sielewi?Akajibu si nilikwambiaga huyo ni rafiki yangu tuu manake kuna kipindi niliwahi kumuuliza baada ya kuona kama wanasliana sana na huyo jamaa, badae sikuona tena nakuja kuona ndo hilo tukio sasa. dah baada ya kujibu hivo nilimlamba bonge ya kibao akaondoka kwenda kulala, na akaenda kulala chumba cha wageni na kajifungia dah, Nilikaa pale sebuleni mpkaa saa kumi usiku sina uaingizi nawaza imekuaje mbona hakuwahi kunioneshea hizi tabia kwamwe? kwa nini amekua jeuri? Nilichukua ile namba ya jamaa nikampigia tena ndipo jamaa akanambia ukweli kuwa wako kwenye mahusiano, dah bro mpka asubuhi sijalala yan nimepigwa na butwaa sielewi nifanye nini hapa; Ninachowaza sasa ivi ni kuachana na huyu mwanamke siwezi kuendelea kuishi nae tena, nahisi nitakua niko sahihi..
We nawe badala uzingatie uselemani wako unajiingiza kwenye umarioo.Anatha dei tu bi alaivu anatha stori katika pita pita zetu tumshauri.
Nina mwanamke ambae ni mke wangu wa ndoa naishi nae mwaka wa tano huu, sasa bhana usiku wa kuamkia leo yani jumapili kuamkia jumatatu ya krismass, baada ya kumaliza kula tukawa tunaangalia movie sasa mida ya saa tano akapigiwa sm kucheki jina Matty, nikamuuliza nani huyo anakupigia sm mda huu akajibu achana nae, dah sikuridhika nikamwambia pokea sm akakataa, sm ikakata akapiga tena mimi nikaichukua ile sm ile nataka kupokea, akaniambia kuliko upokee hio sm ni bora tuachane asee daah nilihisi kama nimepigwa shoti sikuamini nlichokiskia, sema nikasema hapa ndo kwenyewe, nikaipokea ile sm, sauti ya kiume, Mazungumzo;Hallo, hallow..Mimi; Mambo vipi..Matty; Poa inakuajeMimi; Fresh mbona sm usiku usiku kwa mke wangu shida nini? Matty; Mke wakoo??? Mimi; daah moyo ukapasuka paah.. kwa hilo swali lake yani ni kama amekua suprised, nikamjibu ndio mke wangu .Matty; Pole sana mimi huyo mwanamke ameshaniambiaga hana mume aliolewa ila ameachana na mume wako mda mrefu sana wamebaki kama wazazi tuu ndio maana unaona napiga sm mpka mda huu nikiamini hana mtu sasa nimeshangaa kuskia ni mke wa mtu.Mimi; Daah kwa hio sasa hivi uko nae kwenye mahusiano yani unamahusiano nae? Matty; Hilo swali muulize yeye.Mimi; daah,, sawa kaka nashukururu usiku mwema.Matty ; Asante na kwako pia.Nikamrudia wife nikamuuliza kwa upole tuu mke wangu ni nini hiki kilichotokea ni nini kinachoendelea mbona sielewi?Akajibu si nilikwambiaga huyo ni rafiki yangu tuu manake kuna kipindi niliwahi kumuuliza baada ya kuona kama wanasliana sana na huyo jamaa, badae sikuona tena nakuja kuona ndo hilo tukio sasa. dah baada ya kujibu hivo nilimlamba bonge ya kibao akaondoka kwenda kulala, na akaenda kulala chumba cha wageni na kajifungia dah, Nilikaa pale sebuleni mpkaa saa kumi usiku sina uaingizi nawaza imekuaje mbona hakuwahi kunioneshea hizi tabia kwamwe? kwa nini amekua jeuri? Nilichukua ile namba ya jamaa nikampigia tena ndipo jamaa akanambia ukweli kuwa wako kwenye mahusiano, dah bro mpka asubuhi sijalala yan nimepigwa na butwaa sielewi nifanye nini hapa; Ninachowaza sasa ivi ni kuachana na huyu mwanamke siwezi kuendelea kuishi nae tena, nahisi nitakua niko sahihi..
Anatha dei tu bi alaivu anatha stori katika pita pita zetu tumshauri.
Nina mwanamke ambae ni mke wangu wa ndoa naishi nae mwaka wa tano huu, sasa bhana usiku wa kuamkia leo yani jumapili kuamkia jumatatu ya krismass, baada ya kumaliza kula tukawa tunaangalia movie sasa mida ya saa tano akapigiwa sm kucheki jina Matty, nikamuuliza nani huyo anakupigia sm mda huu akajibu achana nae, dah sikuridhika nikamwambia pokea sm akakataa, sm ikakata akapiga tena mimi nikaichukua ile sm ile nataka kupokea, akaniambia kuliko upokee hio sm ni bora tuachane asee daah nilihisi kama nimepigwa shoti sikuamini nlichokiskia, sema nikasema hapa ndo kwenyewe, nikaipokea ile sm, sauti ya kiume, Mazungumzo;Hallo, hallow..Mimi; Mambo vipi..Matty; Poa inakuajeMimi; Fresh mbona sm usiku usiku kwa mke wangu shida nini? Matty; Mke wakoo??? Mimi; daah moyo ukapasuka paah.. kwa hilo swali lake yani ni kama amekua suprised, nikamjibu ndio mke wangu .Matty; Pole sana mimi huyo mwanamke ameshaniambiaga hana mume aliolewa ila ameachana na mume wako mda mrefu sana wamebaki kama wazazi tuu ndio maana unaona napiga sm mpka mda huu nikiamini hana mtu sasa nimeshangaa kuskia ni mke wa mtu.Mimi; Daah kwa hio sasa hivi uko nae kwenye mahusiano yani unamahusiano nae? Matty; Hilo swali muulize yeye.Mimi; daah,, sawa kaka nashukururu usiku mwema.Matty ; Asante na kwako pia.Nikamrudia wife nikamuuliza kwa upole tuu mke wangu ni nini hiki kilichotokea ni nini kinachoendelea mbona sielewi?Akajibu si nilikwambiaga huyo ni rafiki yangu tuu manake kuna kipindi niliwahi kumuuliza baada ya kuona kama wanasliana sana na huyo jamaa, badae sikuona tena nakuja kuona ndo hilo tukio sasa. dah baada ya kujibu hivo nilimlamba bonge ya kibao akaondoka kwenda kulala, na akaenda kulala chumba cha wageni na kajifungia dah, Nilikaa pale sebuleni mpkaa saa kumi usiku sina uaingizi nawaza imekuaje mbona hakuwahi kunioneshea hizi tabia kwamwe? kwa nini amekua jeuri? Nilichukua ile namba ya jamaa nikampigia tena ndipo jamaa akanambia ukweli kuwa wako kwenye mahusiano, dah bro mpka asubuhi sijalala yan nimepigwa na butwaa sielewi nifanye nini hapa; Ninachowaza sasa ivi ni kuachana na huyu mwanamke siwezi kuendelea kuishi nae tena, nahisi nitakua niko sahihi..
Acha ujuaji labda ndio yeye mwenyewe utajuaje.....?Plagiarism
Angetoa credit
Uko sahihi, Pole sana. kwa changamoto.Ninachowaza sasa ivi ni kuachana na huyu mwanamke siwezi kuendelea kuishi nae tena, nahisi nitakua niko sahihi..