FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 132
- 264
Kwa ufupi nina mke tumejaariwa watoto wawili,nampenda sana mke wangu lakini kutokana na distance tuliyonayo (yupo mkoani) najikuta nashawishika kumcheat yani ni ile mwili unatamani,nafsi na moyo vinakataa .
Ajabu sasa kila mwanamke ninaepanga kutoka nae nikimlinganisha na wife naona kabisa ni kama namdhalilisha hivi na kila nikipanga mission inafeli,wakuu natamani nisishawishike kabisa yani nisijihusishe na mapenzi nje ya mke wangu lakini kimbembe vishawishi vingi kwa nature ya mahali pa majukumu yangu,msaada jamani nafanyaje niwe mmoja ya wanaume waaminifu kwenye ndoa zao....
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Ajabu sasa kila mwanamke ninaepanga kutoka nae nikimlinganisha na wife naona kabisa ni kama namdhalilisha hivi na kila nikipanga mission inafeli,wakuu natamani nisishawishike kabisa yani nisijihusishe na mapenzi nje ya mke wangu lakini kimbembe vishawishi vingi kwa nature ya mahali pa majukumu yangu,msaada jamani nafanyaje niwe mmoja ya wanaume waaminifu kwenye ndoa zao....
Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app