Mke wangu habebeki...

Ooh kaka yangu nambie umeshampa mara ngapi hiyo $1k nikuambie kitu. Kikubwa huyu ni gold digger inamaana source ikichoka atakuacha kwa kuwa amekufanya income source. You are not serving any blood $ BUT she is. She will be rich and you will be a begger. Mtoto siyo deal sana, achana naye ana uvute kitu huku huku US. Acha ujinga.

Baadae mchukue mtoto kama una-mind sana umleee na mama yake wa kambo huku US. Achana na huyu mwanamke; things will never work out kama unapomweleza hali ya maisha ni ngumu.

Alternatively; SIMPLE kujua what is behind the curtain pangilia mambo upate rafiki au ndugu ambaye unamwamini mwezi huu udai kumpeleka mtoto kusalimia na kusihi na hawa ndugu kama miezi sita na yeye mwambie umefanya hivyo kwa kuwa kazi huku umefukuzwa, nyumba yako ilivunjwa na vitu vyote vikaibwa, unateseka sana na hivyo akutumie kama $ 10,000 hivi kwa ajili ya nauli umalizapo mitihani na huna chochote zaidi ya pair yako ya jeans na kisha katisha au sitisha msaada kama miezi sita hivi. Jaribio la kutuma fedha litakuwa la kwanza na akifaulu basi sunda fedha na ngoma itakuwa droo. Hili litakufahamisha kuwa je amekuwa aki-save pesa kwa siku mbaya za usoni au amekuwa akiponda fedha kufa kwaja. Jaribio la pili ambalo ni la lazima halina chances wala mjadala wowote, litapelekea wewe kujua kuwa kama anakupenda, na amekuwa akitumia vipi fedha n.k. Kwani itabidi atoe mapato na matumizi ya fedha zote umekuwa ukimtumia.

It is simple to deal with this mind set. Take it easy. Incase you need more alternatives to restrain the situation please write below the forum and will be willing to advise. Asante
 
Pole,anadai kwa sababu zipo.punguza fedha unayotuma hii itamfanya apate akili ya kupoangilia vizuri .utakapopunguza ,atakulalamikia lakini hatokufa.
 
dah,kaka hata ukiangalia koments zote hakuna anayemtetea huyo mkeo!hilo ni gunia la misumari,kwanza umechelewa sana kutuuliza!atakuwa anajenga kwao au anahonga wenzio na ukirudi tu huna chako!huyo ni mnyonyaji na bepari mkubwa!chukua mwanao umlee halafu hiyo pesa utaona jinsi ilivyo nyingi!nina familia ya watu watano,kwamwezi hata laki 5 haiishi kwa matumizi ya nyumbani,wake up!pole sana pia
 
Ndugu yangu kwa hiyo anakwambia 1,800,000 haitoshi na unamuongeza nyingine na nyingine hivi hivi tu? Duh! Sasa nikusaidie kitu simple cha kufanya, kabla hujampa hela nyingine, mwambie akupe matumizi ya hiyo 1,800,000 kwa mwezi amefanyia nini?
Amenunua chakula cha nyumbani sh.ngapi?
Amemnunulia mtoto nini?
Usafiri sh.ngapi?
Voucher sh.ngapi?

Haziwezi fika 1,800,000 kwa matumizi ya kawaida, ndugu UNAIBIWA!
 
Ningekuwa mimi kama ungekuta sijajenga basi nina bajaj kama kumi hv napokea pesa kila wiki
 
maisha ya tz kaka yamepanda sukari,umeme na mafuta bei hiko juu,tuma tu pesa.

usimpotoshe mwenzio. Haya maisha ya tanzania yamepanda kwenda wapi? Yamepanda kwenda mwezini?. Au mbinguni?. Huyu mwanamke atakuja kulia na atakapotaka kujuta na kutubu haya anayoyatenda atakosa hata wa kumweleza uovu wake, na huo ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wa amani yake hapa duniani
 
Kazi kweli,mwambie akupe matumizi yake kwa mwezi akigoma mpeleke mtoto kwa ndugu yako unayemuamini,AKILI ZA MBAYU WAYU CHANGANYA NA ZAKO
 
mmh hapa pagumu siwezi kuchangia maana nitakuwa sina jipya lakini wadau wameshakushauri sasa changanya na za kwako.
Tunasubiri feedback uliseme leo utaitoa.
 
mkuu fungua macho haraka upesi, women will always remain women,kumbe tuko wengi tuu tunao umizwa na hawa wake,mimi pia nafanya kazi nchi ya nje ,alipo aanaza tu mambo na hela na kulalama kuwa haitoshi sikuchukuwa muda tunavyo ongea hivi sasa mimi nimeamua kumukatia msaada hata wa dola moja maanake hapa bana twatafuta maisha mazuri ya baadaye watoto wapate elimu bora na maisha mazuri,sasa huwa inafika point of no return so inabidii ku part ways na kuka kimya kimya,nikirudi nyumbani nitatafute mke anayenistahili na anaelewa maisha ya ndoa sio kuningandamiza.So ushauri wangu hata kaa mtoto ni wako huruma sasa zingine inaleta hasara,na kwa wazazi wako wewe ni mtu mzima tu unawez chukua uamuzi wako bila hata kuwafahamisha hao wazazi maanake wewe mwishowe ndio utakuja kulia.
wish you all the best in your decsion making.
 
Ukichambua vizuri maelezo ya mtoa mada, utagundua kwamba yeye na familia yake wanaishi maisha ya kiwango cha juu ukilinganisha hata na ndugu na marafiki wanaowazunguka na wana amenities za kutosha kumfanya mtu kuishi comfortably...; kwa vile wao wana-stand out kimapato, inabidi watoe misaada kwa ndugu na marafiki ambao hawako so fortunate, na inaonekana mkewe ameonyesha ukarimu sana katika eneo hili na labda ndiyo maana anapendwa na wazazi...; cha muhimu kujua ni kwamba maisha ni dynamic na kwamba kuna wakati inabidi kubadili lifestyles ili kwenda na mahitaji ya wakati; pia ni muhimu kujua huyo dada ametokea kwenye familia yenye uwezo kiasi gani maana isije ikawa watu wanapiga kelele tu kumbe kwao hiyo ni hela ya mboga tu..
 
tunasubiri jibu.....................unamuacha lini huyu bepari anayefanya plundering ya hela ya mabox?? ulipromis leo unakuja na jibu hapa
 
dah pole sana ila ninachokushauri usikurupuke kutoa maamuzi kaa chini tafakari maana mmefunga ndoa ambayo imebarikiwa na Mungu
 
hilo janamke ni levi sana...ingekuwa mimi nishalipiga red card muda ninekamata kitoto kidogo toka vikindu au vingweta...matumizi kwa mwaka ni 130.000/tzs
 
Hata nashindwa hata kucomments its real pain kama unapewa 1.8m per month unasema hazitoshi mshahara wa Manager bongo na anasave pia na kuinvest kaka u need to investigate and see where ur money going utakuja kujuta huko mbele ya safari.
 
Yes kisa kinaumiza sana hiki; na kwa kweli tunahitaji feed back la uache kabisa kutuma; ni afadhali ukaituma ukia kuwa inaliwa lakini sio wewe unadhani inajenga kumbe inaliwa! Hiyo ni dhambi na lazima uwe na hekima katika kuliamulia hili.
 
Back
Top Bottom