Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,188
Nimeambiwa anamjengea mwanaume nyumba.
mmmmmmmh!
Nimeambiwa anamjengea mwanaume nyumba.
muache uniowe mimi, ukirudi unakuta gorofa na magari kama manne! unaibiwa jamaa yangu!
Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.
Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na anapokea mshahara kiasi fulani mara zote analalamika pesa ninayomtumia haitoshi imagine juzi nimetuma kwa exchange rate ya Tanzania alipokea kama Tsh,1,800,000 bado ananipigia cim na kunigombeza pesa haitoshi kwenye matumizi yake ya maisha na mtoto sasa jamani huyu ni mke au mzigo?nimemweleza hari halisi ya maisha ya huku haelewi naishi kwa kujibana ili kile kinachopatikana tukiserve lakini wapi.nahisi kama nilikosea kwenye uchaguzi au anafanyia nini hiyo pesa ya kila mwezi au anaamua kunifanyia ushenzi tu.nimemwambia kuna watu wanalia mchana na usiku wanakosa bahati kama hiyo lakini haelewi.ila ninafikiria kumchukua mtoto wangu akalelewe na mama yangu mzazi au nimchukue nihishi naye ..nahisi huyu mwanamke nimzigo tena haubebeki..nasiyo kwamba kuna assets za ndani ananunua nyumba hiko full hadi usafiri nilimpatia wa kutumia.
Jamani mke wa namna hii nimfanyeje?
punguza kutnka $1000 up to 500 uone atafanya nini
ndoa hizi bana, zina mambo.... watu tunatamani kuingia humo kumbe ndani kwafuka moshi!!!!
Niko nasoma nje ya Tanzania huku nifanya kazi katika company fulani nikilipwa mshahara dollar 1,800 kwa mwezi,najigharamia mwenyewe masomo yangu kwa 50% nyingine ni sholarship na gharama nyingine za maisha.
Nimeacha mke na mtoto mmoja nyumbani.mke wangu najitahidi kumtumia dollar 1,000 kila mwezi.yeye anafanya kazi katika shirika fulani Tanzania na anapokea mshahara kiasi fulani mara zote analalamika pesa ninayomtumia haitoshi imagine juzi nimetuma kwa exchange rate ya Tanzania alipokea kama Tsh,1,800,000 bado ananipigia cim na kunigombeza pesa haitoshi kwenye matumizi yake ya maisha na mtoto sasa jamani huyu ni mke au mzigo?nimemweleza hari halisi ya maisha ya huku haelewi naishi kwa kujibana ili kile kinachopatikana tukiserve lakini wapi.nahisi kama nilikosea kwenye uchaguzi au anafanyia nini hiyo pesa ya kila mwezi au anaamua kunifanyia ushenzi tu.nimemwambia kuna watu wanalia mchana na usiku wanakosa bahati kama hiyo lakini haelewi.ila ninafikiria kumchukua mtoto wangu akalelewe na mama yangu mzazi au nimchukue nihishi naye ..nahisi huyu mwanamke nimzigo tena haubebeki..nasiyo kwamba kuna assets za ndani ananunua nyumba hiko full hadi usafiri nilimpatia wa kutumia.
Jamani mke wa namna hii nimfanyeje?
Pooole wee! mwanamke ni kama mtoto anayejifunza kutembea yan ukimpa gari ya miguu 3 ajifunzie kutembea basi ujue atataka tu kutumia gari muda wote. Ukimwacha atembee kwa miguu yake basi atatembea bila wasiwasi! WANAITWA WATU WA WHOLE WEATHER BANA! Mwanamke anaweza kuishi kwa 1000 kwa siku na anaweza kuishi kwa 100,000 kwa siku (there are flexible bana, na wapo makini sana kwenye matumizi ya pesa kama wakijua ni chache na visa versa is true)
Mi nachoona wewe ndiyo umemzoesha, labda kila akisema pesa hazitoshi unamtumia nyingine na kawaida binadamu hatosheki. Inawezekana pia haamini kabwa unapokea hizo $ 1,800 na anafikiri akiendelea kupiga vuvuzela unamwongezea nyingine. Kumwacha sio suluhisho, be a man and plya your part. Kuwa mkali maelezo ya matumizi ya pesa unazomtumia, kama akishindwa cut off remittance bana for sometimes usikilizie! Najua ATAKUA NA AKIBA YA KUTOSHA SASA, KAMA ATAKUA SIYO MFUJAJI. Naamini unaweza kumbadilisha kwa kuanza kudai mchanganuo wa fedha anazotumia kila mwezi
Funga safari mchukue mtoto muweke na mama yako mzazi (ikiwezekana). Kama mtoto ni mkubwa mweke boarding. Kikubwa kabla ya kumtema fikiria namna ya kuangalia mwanao hatima yake ni nini. Hapa unapigana vita na watu waliojificha nyuma ya mkeo. You do have a virtual war pressured by peer group mkuu. Some thing is very wrong with your family and something must happen too, fanya maamuzi magumu majibu unaendele kuyapata hapa hapa JF. Heko JF
mmmmh hi thread ina uwalikini hivi kwa maisha yetu bongo milioni moja unafanyia nini hata kama foleni ya dar?Tufanye count down ndogo,petrol 300,000 sokoni 120,000 housemaid 100,000,miscelleneous 200,000 laki nane roughly sasa huyo milioni 2 tena ana mshahara?either anajenga kwao au ana mwanaume tena miundombinu almaarufu marioo.halafu kumbe nie wanaume mnajua kuna umuhimu wa kuangalia kabilae?ushauri embu acha kumtumia matumizi mwezi mmja mweleze chochote either umelipa ada or whatever uone reaction yake hata kama uko mbali hisia zitakugusa.pole all the best.