Heshima mbele wakuu,
Najua humu jamvini hakuna linaloshindikana! Mamsapu siku hizi anataka kula tunda bivu mara 2 kwa siku! Asubuhi tukiamka angalau kamoja na usiku kabla ya kulala angalau kamoja pia! Anadai kwamba inampunguzia 'stress na matamanio' awapo kazini! Hapa nilipo naugulia kiuno kinaniuma ile mbaya na hata naniliu nahisi kama vile inataka kukatika! Je, hali hii ikiendelea inaweza kuniletea madhara kiafya?
Wewe inaonesha ulikwenda jando la Hospitali (unapigwa ganzi kabla ya kukata govi) na uliponea nyumbani. Ungeenda jando la porini - kavukavu na unaishi huko huko porini huku ukipata mafunzo jinsi ya kufanya hayo majamboz usingeleta malalamiko kama haya. Anyway, tafuta kungwi akufundishe jinsi ya kumfanya mkeo ashibe kirahisi bila ya wewe kutumia nguvu nyingi.