Pole kaka kwa hlo mungu atakusaidia. Kuwa na nyumba ndogo co suluhisho. Yawezekana mkeo ka2mia cndano za uzazi wa mpango ndo znamnyma ham. Ongea nae ujue, ikibid mkamwone daktari.
inawezekana....Na mpk anatumia hizo sindano za uzazi wa mpango kwa nini asikushirikisha?
au kama ana sababu yoyote kwa nini asikwambie?
Mi naunga mkono hoja we mtaftie mwenzie kisha uwe unajipoza tartiiibu.
I promise u mwenyewe atakileta baada ya kuona umempotezea....
Anakutingishia kibiriti huyo.
huwezi nyimwa bila sababu,tafuta kwanza chanzo then look for solutioninawezekana....
mwisho ni mzungu wa nne
Punguza frequency ya kufanya. fanya mara 2 kwa wiki uone kama atatoa kisingizio.
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*****************************************************************
Mimi na mke wangu tumekuwa katika ndoa yapata miaka mi 3 sasa! Hali ilikuwa ni nzuri kwani tulikiuwa tunakula tunda kila siku angalau asubuhi kamoja na jioni kabla ya kulala kamoja!
Siku hizi hali imebadilika kwani hataki tena na huwa naboreka sana pale anaponijibu eti "nasikia usingizi, tutafanya asubuhi (lakini asubuhi ikifika oooh ngoja nifanye usafi, mara kwanza watoto niwaandalie chai) mpaka siku inapita! Mara ooh nimechoka, sina hamu, sijisikii kufanya, wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...
Roho inaniuma sana mpaka nimeamua kumwangalia tu kwani najua nikimuomba tunda la roho nitapewa majibu na sababu hizo hapo juu na mwisho wake tuanze kugombana bure...
Mimi sasa hivi 'feelings' zinanisumbua sana na sijawahi kutembea nnje ya ndoa ila kwa tabia yake hiyo nashawishika kwenda nnje kitu ambacho nadhani sio kizuri!
Je, bora tuendelee kuishi kama kaka na dada? au nitafute 'kajumba' kadogo huko nnje niwe napunguza taratibu?
Je, nikitoka nnje ya ndoa nitakuwa nimemkosea mke wangu? Nifanyeje ili niweze kumshawishi mwandani wangu ili tuwe tunakula tunda kama zamani?
@Mchango wako unahitajika (true story)!
Unajuaje pengine na yeye anatafuta kisingizio ili waachane tuu na jamaa. Maana am sure when a woman does that, kuna sababu tuu sio hivi. Yawezekana mama kamchoka...so jamaa atakapochukua small house ndo itakuwa evidence yake kuchomoka. Wee ongea naye, ongea naye tena ongea naye utapata jibu tuu.Na mpk anatumia hizo sindano za uzazi wa mpango kwa nini asikushirikisha?
au kama ana sababu yoyote kwa nini asikwambie?
Mi naunga mkono hoja we mtaftie mwenzie kisha uwe unajipoza tartiiibu.
I promise u mwenyewe atakileta baada ya kuona umempotezea....
Anakutingishia kibiriti huyo.
unaniangusha mpwa, maswala ya mke unachukua ushauri wa bwabwa? Au na wewe una ndoa ya jinsia moja?
huyu burn hajamaliza kifungo tu????????????????
Imenukuliwa kutoka katika utafiti wa 'saidia jamii'....
*****************************************************************
Mimi na mke wangu tumekuwa katika ndoa yapata miaka mi 3 sasa! Hali ilikuwa ni nzuri kwani tulikiuwa tunakula tunda kila siku angalau asubuhi kamoja na jioni kabla ya kulala kamoja!
Siku hizi hali imebadilika kwani hataki tena na huwa naboreka sana pale anaponijibu eti "nasikia usingizi, tutafanya asubuhi (lakini asubuhi ikifika oooh ngoja nifanye usafi, mara kwanza watoto niwaandalie chai) mpaka siku inapita! Mara ooh nimechoka, sina hamu, sijisikii kufanya, wewe unataka kila siku, kwani umesikia hii ni pipi? etc"...
Roho inaniuma sana mpaka nimeamua kumwangalia tu kwani najua nikimuomba tunda la roho nitapewa majibu na sababu hizo hapo juu na mwisho wake tuanze kugombana bure...
Mimi sasa hivi 'feelings' zinanisumbua sana na sijawahi kutembea nnje ya ndoa ila kwa tabia yake hiyo nashawishika kwenda nnje kitu ambacho nadhani sio kizuri!
Je, bora tuendelee kuishi kama kaka na dada? au nitafute 'kajumba' kadogo huko nnje niwe napunguza taratibu?
Je, nikitoka nnje ya ndoa nitakuwa nimemkosea mke wangu? Nifanyeje ili niweze kumshawishi mwandani wangu ili tuwe tunakula tunda kama zamani?
@Mchango wako unahitajika (true story)!