Nini hicho?
hiyo kwangu ilikua simple mwezi feb nikaanza kuwa busy pia na cm kuliko yeye.sometimes nikawa najifanya kupokea cm mid9te.we mwenyewe hadi leo kanywea.try that.
nimeshamwambia mpaka hua tunakorofishana na bahati mbaya hua hatukai pamoja na hua tunaweza onana mara nne kwa mwaka
Kaka afadhali hiyo yako mi wangu yaani tukiongea unajikuta ameshajisahau yupo na simu anabrowse,nilimkataza ila mambo yale yale,baadaye kweli kuna kitu nyuma ya pazia ikabidi tuachaneduh hata mimi dem wangu hua anakua busy kuchat na wenzake mpaka hua napata kero ninapokua nae, anaweza kuchati mpaka saa 6 usiku halafu ndio hua anaanza kunisumbua wakati huwa nimeshalala na ikifika saa 12 asubuhi anaanza kupigiana simu na wenzake...
Wenzake ni wasichana hana mazoea sana na vivulana..
Ushauri na mimi nifanyaje maana nimeshamwambia mpaka hua tunakorofishana na bahati mbaya hua hatukai pamoja na hua tunaweza onana mara nne kwa mwaka
hiyo kwangu ilikua simple mwezi feb nikaanza kuwa busy pia na cm kuliko yeye.sometimes nikawa najifanya kupokea cm mid9te.we mwenyewe hadi leo kanywea.try that. YES, HII NI NZURI TENA NIMEIJARIBU SASA HIVH- GOOD RESULT. Ameacha mara moja amejifanya ananipigisha story na mm niko busy ile mbaya na jf
Kaka afadhali hiyo yako mi wangu yaani tukiongea unajikuta ameshajisahau yupo na simu anabrowse,nilimkataza ila mambo yale yale,baadaye kweli kuna kitu nyuma ya pazia ikabidi tuachane. UMEONA EE YANI KUNA TUNA KAZI KWENYE MAHUSIANO.
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
hebu jaribu siku moja kuvizia uikwapue simu ujue anawasilana na nani bana..abiria chunga mzigo wako