Ukiwa addicted na jamiiforums unafikiri kila tatizo lako linatatuliwa kwa ku-post hapa...Sorry to say that..Vunja ukimya ongea na mkeo
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
Asanteee!
Huyo anaongea na ambao anaongea nao mchana kutwa wakati ww unajidai uko busy na kazi zako!
Jiulize mchana unaweza kukeep in touch? Ama unatokea jioni sana kama mzimu na kutegemea aache kuchat? Wewe mvivu wa kumuandaa mkeo, wanao-flirt nae kwa chat wanakufanyia maandalizi ww unamalizia. Shukuru Mungu, na usimlalamikie manake atawapa wamalizie na utakosa walau unyumba!
Unashinda job, unamalizia bar, umemtelekeza! Make her addicted to u, otherwise muache awe addicted na simu yake na waliomo!
Asanteee!
Huyo anaongea na ambao anaongea nao mchana kutwa wakati ww unajidai uko busy na kazi zako!
Jiulize mchana unaweza kukeep in touch? Ama unatokea jioni sana kama mzimu na kutegemea aache kuchat? Wewe mvivu wa kumuandaa mkeo, wanao-flirt nae kwa chat wanakufanyia maandalizi ww unamalizia. Shukuru Mungu, na usimlalamikie manake atawapa wamalizie na utakosa walau unyumba!
Unashinda job, unamalizia bar, umemtelekeza! Make her addicted to u, otherwise muache awe addicted na simu yake na waliomo!
mkeo atakuwa member wa jamiiforums, mwambie apunguze...
ukiona habadiliki vizia simu yake akiwa amelala au mnyang'anye kwa kumshtukiza utapata majibu yote!
hapo mvua imesha anza kunyeesha. hizo sio dalili tena. akiwa sebuleni mke anaingia chumbani na akiwa chumbani anaenda sebuleni kuwa bize na simu yake. hapo tayari kama alikuwa ni chama tawala ajiandae kuwa chama cha upinzani anaelekea kushindwa vibaya.Dalili ya mvua ni mawingu.
hapo mvua imesha anza kunyeesha. hizo sio dalili tena. akiwa sebuleni mke anaingia chumbani na akiwa chumbani anaenda sebuleni kuwa bize na simu yake. [
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
Simu imemfanya kuwa na anti social behaviour so try to talk with her first coz anaweza kujielewa na kujirekebisha maadam tabia hiyo ameianza ukubwani na hivi karibuni so anaweza kuchange na umuwahi kabla hajawa edicted.
Halafu vitu vingine uwe unafanya juhudi binafsi za kutatua tatizo linalokuhusu kabla hujaomba ushauri ukija kuomba ushauri unasema nimefanya hivi na hivi bado tatizo linaendelea hapo wana JF wanakupa another alternative solution
na wewe jifanye tu unawasiliana sana, mbona atakuwa mpole tu,
Wanajamii habari za jioni. Mke wangu ikifika jioni mpaka usiku anakuwa busy sana na sim hata mda wa kuongea na mimi hana, wakati mwingine tukiwa sebureni hujifanyifa anaumwa na kwenda chumbani, ukienda gafla unakuta vidole vinacheza kwenye sim. Mimi kiukweli sio kwamba wivu umekuwa juu, lakini je ni sahihi kwenye ndoa? Na wala sio mfanyabiashara. Naombeni ushauri nisije nikawa mimi nakosea.
amka usiku akiwa amelala, cheki sms zote. utamjua tu