Sal
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 498
- 228
No wonder watoto wa siku hizi ni matatizo matupu. kitoto kina miezi 6 tu, mama anapigwa na minjemba mingine... hivi mungu yuko wapi jamani, mbona watu hawaogopi? mimi wala siko kwa huyu baba, namuonea mtoto huruma. si ajabu hata kitoto hiki sio cha huyu baba. hata la kusema sina....