Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,193
Na hiyo mashine iliyofumuliwa hadi imekuwa kama kopo na ku-expire ataifanyaje?? Hata hivyo huyo mfanyabiashara ana mtarimbo wa kutisha, hadi kufumua hiyo kitu!!!pole sana mdau. Ila kwa mtazamo wangu naona haina haja ya kumpa talaka mkeo. Cha msingi tumia upole na umrudishe nyumbani. Mpaka akakubali kuolewa nawewe nikweli amekupenda, ila tamaa yawezekana zilimzidi, naye ni binaadamu. Usibadilike kwa chochote. Endelea na huduma zako na majukumu yako kama baba na muonyeshe upendo. Hapo atakuwa kapata fundisho