Mke wangu ameniomba nimtaftie mwanamume wa kumliwaza

Haya ni matatizo ya malezi ya upande mmoja, huyu jamaa nina uhakika kama angepata bahati ya kuishi na baba yake angejifunza ni jinsi gani baba yake alivyokuwa anasuluhisha ugomvi kati ya mama yake na bibi yake.

Au angeomba ushauri kwa baba au mzee wa kiume mwenye uzoefu, siku hizi utandawazi umetupoteza sana kiasi kwamba vitu vya msingi tunataka kuvi-solve kwa google, JF, FB au tunafanya reference kwenye tamthilia za kina Larevancha ambako kuna maisha ya kisanii.

Utakuta jitu kubwa limeoa kila siku kumsifu mama yake, mara mama anajua kupika, mama ananipenda, mara mama ooh!!! Mwisho utajisahau ukiwa kitandani useme mama anajua kukatika (ni ujinga), mke mke, mama mama.
 
hata vishtobe na "girl friend material" huwa wanafanyiwa hivi hivi na viwalo na BBM...u name it..tuache kufikiria kitoto...a wife needs more than that...what a wife needs can't be found in stores. mwanamke unaweza ishi nae kwenye kibanda na mkala once in a day (kama ni mwanamke kweli anayekupenda) atadumu hapo na atakuheshimu. mwanamke anahitaji kujua na kuhakikishiwa kuwa unamjali (unavyozungumza naye, unavyomjulia hali, unavyohusika na masuala yake hata yale yanayoonekana kuwa madogo, unavyoheshimu mawazo yake e.t.c)...hivi ndiyo vitu hasa mwanamke anapenda, ofcourse she needs to be secured financially lakini hilo sio thaaaaaaat primary.
seriously unakataje "huduma" kwa mkeo ati because of ur mother? ni kwanini mamaako anaishi hapo, kabla ya wewe kuoa na kuwa na nyumba alikuwa anaishi wapi? I'm not suggesting that u should hate ur mother HAPANA HAPANA HAPANA, my suggestion is MOUNDOE aende kwake kama kweli unajua maana ya ndoa. heshima ambayo mke anakuwa nayo kwa mamamkwe hushuka taratibu kwa kadiri wanavyoishi pamoja na hasa kama huyu mamamkwe umama wake ulikuwa kwenye kuzaa tu i.e. hana tabia hasa za umama, ni mkorofi na ana mambo mengine ya kibinti. itafika hatua atataka kushindana na mkeo kwa masuala fulani, hii inavuruga sana heshima. mazingira kama haya yakikutana na mwanaume asiyefahamu vizuri hbr ya ndoa na ambaye yuko biased kimaamuzi, basi anaweza kuchukua hatua ya kumpiga au kumtimua mke.

...acha ujinga wa kwamba mke ntaoa mwingine mama ntamtoa wapi...FYI;ur mother has had her life, alishaolewa akawazaa akawalea mpaka akawaoza...she has nothing to loose BUT u my friend, if u rnt careful u will lose everything, hata watoto wako watakuona poyoyo. we ndio umeanza kujenga life na familia yako haistahili uingiliwe na mtu YEYOTE!


Muondoe mama yako mpendwa kwenye himaya yako lasivyo nyumba inaharibika hiyo na huyo mama yako unayempenda mno hata kama unampenda vipi...hawezi kuwa mkeo (ni abomination I think u know) MAMA NI MAMA...NA MKE NI MKE!


Yawezekana unaogopa that thing they call "radhi"...lakini kama umemkalisha mama kwa hekima zote hujamtukana, akaenda zake kwake how the hell is the "radhi" supposed to function....I can sense unamuogopa mama yako badala ya kumheshimu!

i know of people walojifanya kutimua wake zao kipuuzipuuzi kama unavyofikiria, the last tym I checked, hao watu wameumia mbaya, wamechakaa vibaya. mke naye ana "radhi" yake sasa wewe fanya upime..akili kumkichwa.


mkeo msg yake hakukosea, she wanted u to think abstractly (mtu mzima anapewa heading tu, essay anaandika mwenyewe)...yeye kaona we "umelock" na haoni mwanaume mwingine wa kumsaidia ila wewe uliyelock, basi kama wewe unaendelea kulock msaidie mwenzio "riziki" yake...,mtafutie alternative, hebo? gadhabu za kwako na ur mental dependency kwa mamaako mwanaume mzima alafu yeye ndiye "astarve", za wapi hizo???
wats ur name again?unakunywa beer gani?au nikuserve na vodka yenye ice cubes plus kipande cha ndimu pembeni!dah!
 
Mkumbavana Hebu tuongee kiume: Kiukweli kabisa baada ya nasaha nzito humu ndani unaamini bado unataka kuwa mwanaume au mtoto wa kiume? Say so for last.
 
Last edited by a moderator:
busara inahitajika msimshambulie sana maana kila mmoja anasehemu yake mama na mke ni mke tusifikirie kwa hasira ni lugha tu aliyotumia ila hata nayea ana makosa mkeo alichofanya hajakosea maana ameongea kilicho moyoni mwake wengine huwa hawaangi wanaanzisha safari moja baada ya nyingine mtimizie haja zake
 
Warning gani..kumuambia maneno kama yale mume haifai na ni kumkosea heshima.

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums

Unachosema ni sahihi kabisa lkn waswahili wanasema bora nusu shari kuliko shari kamili, ni vipi kama akiamua kufanya kimya kimya itakuwaje? Mimi naona wamefikia hatua mbaya ndio maana wanajibiana hivi na nadhani kama tungepata results za pande zote mbili ingekuwaje? Maana hapa tumepata upande mmoja tu.
Zaidi napenda kufikiri kuwa inawezekana kumwambia hivyo ni kumkumbusha wajibu wake kama mume ila si lengo lake kufanya hivyo maaba hata asingehitaji kumwambia amtafutie mwanaume wa kumsaidia il-hali yeye anaweza ikiwa anayo nia hiyo.
 
Mke nitapata mwingine,mama nitapata wapi mwingine?

ukimfukuza mkeo wanao watampata wap mama mwingine? U a so selfish, y unawaza upande wako 2? Km mama ako ndo muhm klk mke y ulioa? A u sure mke mwngne utakaeoa atapendwa na mama ako? Akimchukia tena utaoa tena? C utakua baba kuku sasa... Kila kona watoto. Nonsens!
 
Wamegombana nini,mke wako na mama yako? Lilete tatizo hapa labda utasaidiwa katika arbitration,kutafuta suluhu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom