Ukishamchakachua mke wa rafiki yako pia utarudi hapa kutuambia au kututaka ushauri?Hii ni kweli kwa ufupi tu ninae rafiki yangu tulisoma pamoja na mungu akajaalia hata kazini tupo pamoja mwenzangu amebahatika kuwa mimi nilikua mpambe wake ktk haruc ila hivi sasa mkewe anaonesha ishara za kunitaka hata messege za mapenzi baadhi ya cku ananirushia na kumwambia mumewe cwezi na kutofika kwa rafiki yangu pia ngumu nifanye nini."HII NI KWELI."
Nenda kwa mchungaji, padri au sheikh akushauri kimaadili juu ya "mmonyoko wa maadili" katika jamii. Halafu utafanya uamuzi wa kunyonga au kujisemea kazabibu kenyewe ni "sour grapes".