Mke wa mtu, Smart phone ya nini?

Halafu kweli bwana yani hawa wake zetu malaya unakuta anaacha kupika anaenda kununua chipsi na mguu ya kuku
 
Kuna kaukweli ndani yake lakini, ila ndio hivyo hatuwezi kupingana na teknolojia hii mpya, kwakweli kuna baadhi ya wake za watu wanatumia vibaya mitandao ya kijamii km Facebook, kwa mfano anatupia picha aliyovaa suruali inayombana hlf mwanamke mwenyewe ukute sasa kajaliwa kwelikweli lazima watu watupe ndoano kwakweli
 
Kama mleta mada kaoa bas mkewe kapata/kupatwa. Na hyo familia wanalo. "Nani karuhusu kuwasha Tv?!...tenheee..in mleta madaz Voice"
 
Anachosema ciprofloxacin kina ukweli ndani yake ingawa ni ukweli mchungu smartphone zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta usaliti katika ndoa,
Jana mi nimechat na mke wa mtu hadi saa 8 za usiku na mume wake amelala sasa unadhan mi na huyo mwanamke tunaelekea wapi??
Hakuna namna
 
Acha mfumo dume wewe..., kwanza upo sayari gani! Mwishowe utasema marufuku kutazama TV nyumbani. Loo, unajiabisha na post kama hizi
 
Kweli ulichosema siuwongo pch wanazotuma huwa cizielewi inakuwa kama wanatafuta wateja yani kama biashara flani ivi imekuja kisasa zaidi mtandao kama badoo ni hatari kama mkeo yupo humo jitathimini mara 2
Mleta mada ana hoja, aiweke vizuri zaidi. Hasa hilo la mipicha linatia ukakasi!
 
Ni mtazamo wako tu... mwanamke kuchepuka au umalaya ni maamuzi yake.. kuna wanawake hawamiliki simu lakini wanagawa kila siku... ukimpa number tu ataazima simu akutafute...

Mwanamke anatafutwa hatafuti... hata bila simu atatafutwa na kupatwa tu...
 
Labda utueleze matumizi ya smartphone kwa wanaume ni nini? Na je aliyetengeneza smartphone alimlenga nani? Mkeo atachepuka tu mkuu hata asipokuwa na simu. Pole kwa kuchapiwa...ni kawaida sana nowdays.
 
ushawachapa wake za watu wangapi wenye smartphone, maana inaonyesha mkuu we mtaalam wa haya ndio maana ukaeleza kwa umakini mkubwa.
 
Duh! Huyu jamaa ni bonge la primitive!
Wew utakuwa umevurugwa si bure. . Sitaki kuamini kama hujui umuhimu wa social networks kwenye jamii. .mnunulie mkeo simu ya kitochi
kabla ya smart fone unadhani kulikuwa hakuna michepuko? mke wako anatumia simu gani?
Hahaha kwa hiyo hatuto- Google tena jamani?
Huyu bwana ni bonge la mshamba.
Matumizi ya smart phone anayoyajua yeye ni kuchat na michepuko tu!.
Kwa taarifa yako watu wamechepuka kabla hata ya enzi za simu za kukoroga za ttcl (enzi hizo shirika la posta na simu).
We zubaa tu na ushamba wako.
 
Anachosema ciprofloxacin kina ukweli ndani yake ingawa ni ukweli mchungu smartphone zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta usaliti katika ndoa,
Jana mi nimechat na mke wa mtu hadi saa 8 za usiku na mume wake amelala sasa unadhan mi na huyo mwanamke tunaelekea wapi??
Hakuna namna

Kwani kwenye simu ya tochi msingechat?
Au mnasema wasitumie simu kbs?
 
Back
Top Bottom