NAKUBALIANA NA WEWE KBS95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.
Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.
Unakuta mke wa mtu yupo busy na facebook, jamiiforums na mitandao mingine, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.
Mke wa mtu anatafuta nini facebook na JF kama siyo umalaya?
Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?
Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!
Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.
Mungu alimtoa mwanamke ktk ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.
Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.
Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi Sana tofauti na mwanaume.
Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
POle Anti biotic kwa kuchapiwa. Halafu jamaa yangu huna haja ya kupaniki, kwani kama kaliwa si kaliwa yeye, wewe tatizo lako liko wapi? kwani hukuikuta papuchi, si ipoooo? dawa yake na wewe ichape na kama ukiona haina radha basi tafuta papuchi nyingine upumue. simple like that.95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.
Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!
Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.
Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
Hahaha kwa hiyo hatuto- Google tena jamani?
Anachosema ciprofloxacin kina ukweli ndani yake ingawa ni ukweli mchungu smartphone zinachangia kwa kiasi kikubwa kuleta usaliti katika ndoa,
Jana mi nimechat na mke wa mtu hadi saa 8 za usiku na mume wake amelala sasa unadhan mi na huyo mwanamke tunaelekea wapi??
Hakuna namna
Hahaha mambo mengine tunagugo kwa siri bana. Tukitaka kujipiga selfie sasa?Gugo ya nini? Mtakuwa mnnatuuliza tunawapa majibu.
Gelofriend humjui popoma? Rafiki ake NifahTeh hivi mpendwa upo serious kweli au?
Hahaha mambo mengine tunagugo kwa siri bana. Tukitaka kujipiga selfie sasa?