Mke wa mtu, Smart phone ya nini?

Teh teh si bure ka.g.o.nge.wa.huyo
kati ya wanaume wenye Bahati duniani Mimi ni mmoja wapo.
Nina mke mrembo, mcha Mungu, Nilianza naye maisha ktk mazingira magumu ambayo si rahisi wewe kuamini hata nikikuambia.
Hana muda wa kushinda na simu, achilia mbali smart phone hata Nokia ya tochi hana muda nayo.
Muda wake mwingi huutumia kufunga na kuomba na kusoma Biblia.
Asante Mungu wangu kunipa huyu mwanamke.
 
kwa kiwango cha uprimitive wake sidhani hata kama hilo neno primitive anaelewa maana yake. Nashauri liandike kwa lugha ya kiswahili ili aelewe.
My friend, get to know that I don't suffer any primitiveness.
My role is to make dull men like you understand what women who possess smart phones act against their either husbands or merely partners in love, you should phlegmatically be prudent enough to put up with people whom you know not about.
 
95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.

Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!

Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.

Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
Hivi hao wake za watu wameanza kuchepuka baada ya hizo simu zenu kuingia..........?
 
Siku ukipigiwa mke km huyu lazma ufe kwa presha,nasapoti maisha yake ya uchaMungu bt humans hawatabiriki
 
Warren T hili bandiko linaukweli tena mkubwa ndani Yake. Smartphn zimekuwa chanzo kikubwa cha usaliti katika Mapenzi.

Zimerahisisha soko la kutumiana picha zisizo na maadili.. Unakuta mke wa mtu katupia picha Insta mpaka kinguo cha ndani kinaonekana.

Madada wengi hawajui matumizi ya smart ndio maana wanashinda inst kushabikia ugomvi usio wahusu kati ya shemeji Zari na Zilipendwa X shem Wema.

Hata mimi naunga mkono kuwa SMARTPHONE NI KWA AJILI YA MATUMIZI YA WANAUME TU.

Bila uwepo wa smartphn kwa madada ndoa zitabaki salama na hakutakuwa na Malalamiko tena.

NAUNGA MKONO HOJA
 
Warren T hili bandiko linaukweli tena mkubwa ndani Yake. Smartphn zimekuwa chanzo kikubwa cha usaliti katika Mapenzi.

Zimerahisisha soko la kutumiana picha zisizo na maadili.. Unakuta mke wa mtu katupia picha Insta mpaka kinguo cha ndani kinaonekana.

Madada wengi hawajui matumizi ya smart ndio maana wanashinda inst kushabikia ugomvi usio wahusu kati ya shemeji Zari na Zilipendwa X shem Wema.

Hata mimi naunga mkono kuwa SMARTPHONE NI KWA AJILI YA MATUMIZI YA WANAUME TU.

Bila uwepo wa smartphn kwa madada ndoa zitabaki salama na hakutakuwa na Malalamiko tena.

NAUNGA MKONO HOJA
Shem njoo huku, kaka kaunga mkono hoja!!!
 
Kweli nyani haoni kundule hizi smartphone zinachagua jinsia ya kuharibu eeh?acheni mawazo ya kizembe kama huwezi kutumia simu hata uwe na nokia tochi utaharibu tu

Tumesema ndio chanzo, siku zote vyanzo ndo vyenye shida, kama unafkiria ata nokia ya tochi pia ni sawa lakini hizi smartphone ni kwa haraka zaidi jamii inapotea usiwe kibubusa
 
Warren T hili bandiko linaukweli tena mkubwa ndani Yake. Smartphn zimekuwa chanzo kikubwa cha usaliti katika Mapenzi.

Zimerahisisha soko la kutumiana picha zisizo na maadili.. Unakuta mke wa mtu katupia picha Insta mpaka kinguo cha ndani kinaonekana.

Madada wengi hawajui matumizi ya smart ndio maana wanashinda inst kushabikia ugomvi usio wahusu kati ya shemeji Zari na Zilipendwa X shem Wema.

Hata mimi naunga mkono kuwa SMARTPHONE NI KWA AJILI YA MATUMIZI YA WANAUME TU.

Bila uwepo wa smartphn kwa madada ndoa zitabaki salama na hakutakuwa na Malalamiko tena.

NAUNGA MKONO HOJA
Kabla ya smart phone kulikua hamna malalamiko kwenye ndoa eti?Mi nadhani hili swala ni utashi wa mtu tu.Labda tuseme tu simu bila kujali ni ya aina gani inaeza sababisha mgogoro katika ndoa.
 
Kabla ya smart phone kulikua hamna malalamiko kwenye ndoa eti?Mi nadhani hili swala ni utashi wa mtu tu.Labda tuseme tu simu bila kujali ni ya aina gani inaeza sababisha mgogoro katika ndoa.
mkabasia wakati ambao smartphn zilikuwa bado hazijaingia hatukuwa tukiona picha za utupu...

Hatukuwa tunaona maumbile ya wanawake wala hatukuwa tunaona mavazi ya ajabu ambayo kwa leo nadhani ndio fashion kwa madada wengi.

Hatukuwa tunarushiwa picha za utupu na nusu utupu, lakini kwasasa tunatumiwa nyingi tu tena kwa mitindo tofauti.

Hatukuwa tunashuhudia na kuona wake za watu wanavyojidhalilisha, lakini leo hao hao ndio wanaongoza kwa kujipiga au kupigwa picha wakiwa watupu.

Ukienda Badoo Huko ndio balaa, utakuta kila aina ya Uchafu chanzo kikiwa ni Hiki hiki cha Smartphone.

KWANINI NASEMA SMARTPHN ZIWE MAALUM KWA WANAUME TU?

asilimia tisini ya Wasichana wanaotumia hizi simu wamejikuta wakiachwa kwasababu ya Kugeuza matumizi ya Simu Hizi kama chombo cha Habari cha Kutangaza bidhaa zao

wanawake wengi wamekuwa wahanga wa kupiga picha, kupigwa kwa hiyari Yao ama Kwa Kulazimishwa. Picha nyingi Zilizosambaa kwenye Mitandao Ya kijamii Haziwaonyeshi wanaume wakiwa watupu bali huonyesha madada na wanawake wakiwa watupu.

Kwa hayo Machache niliyoyaelezea nadhani nina kila sababu ya Kuunga mkono bandiko Hili kwa kuwa ingawa Smart zimeletwa katika mlengo mwingine kimatumizi, lakini kwa Hawa Wenzetu nadhani Zimeletwa kwa sababu ya kutangaza biashara na kuchat na Watu ambao hawana faida wala Manufaa kwao.

NI AIBU MWANAMKE UPO NDANI YA NDOA LAKINI MPAKA SAA TISA ZA USIKU UKO JF TENA KULE PM NA WANAUME TOFAUTI NA MUMEO
 
95% ya wake za watu wenye smart phone wanachepuka.Tangu lini mke wa mtu akawa na smart phone? Hizi ndo zinatumika kuleta usaliti mkubwa kwenye ndoa.Unakuta mke wa mtu yupo busy na mitandao, halafu mwanaume mzima na ndevu zako umetulia tu kama juha.

Mke wa mtu anatafuta nini mitandaoni kama siyo umalaya? Anachat nini na nani na kwa malengo yapi?Ni wakati wa wanaume kujitambua sasa, huo usawa wanaotaka wanawake haupo ng'oo!

Mwanamke anabaki kuwa mwanamke tu.Mungu alimtoa mwanamke katika ubavu tena wa kushoto wa mwanaume.Smart phone ni kwa ajili ya wanaume tu.

Mwanamke anaishi kwa mipaka mingi sana tofauti na mwanaume.Poleni wanaume wote ambao wake zenu wana smart phone, kuchapiwa hakukwepeki kabisa.
nenda kaishi saudi arabia unaweza pata amani kiduchu...
 
kuna watu watatetea wengine watasapoti ila ukweli ni lazima usemwe hizi simu zimekua chanzo kikubwa cha ndoa nyingi kuvunjika ukilinganisha na kipindi cha nokia kitochi,watu wengi wanajitoa fahamu tu hata humu watu moyoni wanajua athari za hii misimu ya kisasa tusipindishe ukweli tukizani tutapendwa humu jf,wake zetu wako hatarini sana labda ambao wameoa wanawake wanaofanana nao sura.
 
Back
Top Bottom