nimeoa hivi karibuni ila wakati natoka kumchukua mke wangu nilipokea simu kutoka kwa msichana ambae nilikua na mahusiano nae miaka mitatu iliyo pita ambae arikwisha orewa ananieleza kua mtoto alie nae nimtoto wangu na si mtoto wa bwana anae ishi nae anadai kama nitahitaji nikamchukue je nifanyeje jamani nahofia ndoa yake na yangu pia