Konakali
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 1,533
- 263
Kama hii story ni ya kweli, basi nimegundua yafuatayo....!nimeoa hivi karibuni ila wakati natoka kumchukua mke wangu nilipokea simu kutoka kwa msichana ambae nilikua na mahusiano nae miaka mitatu iliyo pita ambae arikwisha orewa ananieleza kua mtoto alie nae nimtoto wangu na si mtoto wa bwana anae ishi nae anadai kama nitahitaji nikamchukue je nifanyeje jamani nahofia ndoa yake na yangu pia
1. Hukuwa mwaminifu hata kwa mkeo kipindi cha mahusiano yenu, na hivyo hadi sasa umeshamsaliti mara kadhaa, na bado utaendelea tu.
2. Wewe ni mzembe wa kutupwa...! Hadi unafanya ngono zembe ukiwa mtu mzima? Bado hujakuwa vya kutosha kiakili mkuu....
3. Huyo ulitaka kumficha safari yako ya kuoa, na ndio maana hajawahi kukueleza hilo mapema.... Na hii ni hatari sana kwa mahusiano unayoingia...
4. Hadi sasa mkeo wa ndoa hajajua hilo, na ndio maana hata kauli yake haipo kwenye maelezo yako....!
Please, be careful...