Mke wa kaka (shemeji) ananitaka kimapenzi

Wakubwa naendelea kutafuna shemeji kwa siri kubwa pia nimeahidiwa halotel a.k.a Saudi Arabia.shem kaukubali mziki full shangwee namfikisha kileleni
 
kaka yako mjanja sana maana amechezea mwishowe kaona ni heri aburudike na viroba tu, halafu wewe unajiona mjanja kupendwa na shemeji, amimn amini nakuambia utaishia kula makombo tu, tafuta vitu vilivyosimama ...pambafu....
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
Ww ni mchaga wa rombo ?
 
Mkuu jina lako tu kielezo tosha ##secretali chapa kazi kampuni itakimbia kwa mwengine kula mzigo kiakili na maziwa pembeni
 
Huwezi jua mkuu...usikute kabla hajaja kwako kesha sababisha kwingine...muogope shemeji apatae ujasili kama huo maana ni hatari sana....embu jiulize kama anapta ujasiri kukueleza hivyo wewe,je anakosaje ujasiri kumueleza mtu wa nje...usikute kaja kuiangamiza familia,fikiri kabla ya kutenda
 
Back
Top Bottom