Mke wa kaka (shemeji) ananitaka kimapenzi

Umekuja huku kufanya nin ikiwa majibu unayo? Maghembe na Kawambwa mlituharibia watoto nyie wazee agh
 
Shemeji wee shemeji wee....
secrete mrejesho please, tangu mwaka jana hiyo, vipi ushampa mimba shemeji ako na mtoto wenu kishaota meno sahivi
 
Sheria ya Mungu
Sheria za Mungu ni pamoja na amri kumi. Imeandikwa, Kutoka 20:1-17 "Mungu akanena maneno haya yote akisema.[1] Mimi ni Bwana Mungu wako niliye kutoa katika nchi ya misiri katika nyumba ya utumwa usiwe na miungu mingine ila mimi.[2] Usijifanyie sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni wala kilicho chini duniani wala kilicho majini chini ya dunia usivisujudie wa kuvitumikia kwa kua mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu wenye wivu nawapatiliza wana maovu ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao, nami nawarehemu maelfu elfu wanipendao na kuzishika amri zangu.[3] Usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako, maana Bwana hatamuhesabia kuwa hana hataia mtu alitajaye jina lake bure. [4] Ukumbuke siku ya sabato uitakase siku sita fanya kazi utende mambo yako yote; lakini siku ya sabato ni ni ya Bwana, Mungu wako siku hiyo usifanye kazi yo yote wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako. maana kwa siku sita Bwana Mungu alifanya mbingu na nchi na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibaria siku ya sabatu akaitakasa.[5] Waheshimu baba yako na mama yako; siku zako zipate kuwa nyingi katika nchi upewayo na Bwana, Mungu wako.[6] Usiue.[7] Usizini.[8] Usiibe.[9] Usimshuhudie jirani yako uongo.[10]Usiitamani nyumba ya jirani yako, usimtamani mke wajirani yako, wala mtumwa wake, wala mjalkazi wake, wala ng'ombe wake wala punda wake, wala cho chote alicho nacho jirani yako."
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
I hope utaenda kumpima kwanza manake huwezi jua ndani kwanini kaka hali tunda kumbe kuna jambo,usikurupuke
na hizo style za kuridhi ivi ukifa wewe kama unamke inakuwaje? mna michezo ya khatari nyie kabila lenu na mabalaa
ya sikuizi yaloingia,wanawake walojaa tele na wanaume walojaa tele kila rangi mambo yakurithi si balaa hilo yailahi toba mwenyezi mungu tustiri waja wako....
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
Unaumwa wewe.
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
Kwa mfumo huu bora bomba la mafuta lingepita kenya
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
yawezekana dada yako kaambukizwa ugonjwa hatari na kaka yako sasa kwa hasira anataka kuteketeza familia yenu wote. akimaliza kwako anakwenda kwa mdogo wako chukua tahadhari.

dhambi kubwa hiyo itakupeleka jehanum ya moto.
 
Back
Top Bottom