Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,644
- 19,614
Halafu eti tunajiuliza kwa nini nchi yetu haindelei pamoja na kuwa huru miaka yote hii 50.
teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!
Unajuwa kuwa wachina walitujegenea sisi ile reli ya Tazara baada ya miaka 30 tu ya uhuru wao, lakini sis leo hii miaka 50 bado hatuwezi kujijengea hata kidaraja bila kuomba msaada kwa vile tunatumia muda wetu mweingi kwenye vijiwe kutafuta ati nani anapendelewa na serikali. Viongozi wakubwa wa nchi hii ni waislamu lakini kila kukicha, hatuishi minong'ono hii ya kudai wakristu wanapendelewa. Tutaacha lini upuuzi huu?
teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!teh!!!!!!!!!!!!
Unajuwa kuwa wachina walitujegenea sisi ile reli ya Tazara baada ya miaka 30 tu ya uhuru wao, lakini sis leo hii miaka 50 bado hatuwezi kujijengea hata kidaraja bila kuomba msaada kwa vile tunatumia muda wetu mweingi kwenye vijiwe kutafuta ati nani anapendelewa na serikali. Viongozi wakubwa wa nchi hii ni waislamu lakini kila kukicha, hatuishi minong'ono hii ya kudai wakristu wanapendelewa. Tutaacha lini upuuzi huu?