yote ilikuwa kukuingiza kingi na UKAJAAA
Hujaingiza yeyote kingi zaidi ya kuzidi kujifunua jinsi ulivyo mdini na mbaguzi wa hali ya juu. Mimi hapa natizama mwelekeo wa the new Game Theory aliyekuwa "amejificha kwa muda sana".
yote ilikuwa kukuingiza kingi na UKAJAAA
Wana JF,Hujaingiza yeyote kingi zaidi ya kuzidi kujifunua jinsi ulivyo mdini na mbaguzi wa hali ya juu. Mimi hapa natizama mwelekeo wa the new Game Theory aliyekuwa "amejificha kwa muda sana".
Wana JF,
Nashukuru mwana JF aliyeweka hadharani MOU husika. Ningependa tu kuongezea machache na hasa historia ya jinsi na kwanini MOU hiyo ilizaliwa...
Mzee wa BK MJINI gazeti hili halijawahi kushtakiwa ni kati ya magazeti makini TZ.SO FAR ni MWANAHALISI ndio linapelekwa mahakamani kila mara kwa kuandika bila evidence, hukumbuki lilifungiwa miezi mitatu.Nzuri kafu na sisi maf wamefulia mkuu
Wewe unaaminije gazeti ambalo halijatupa evidence? Si mara nyingi tu hawa nao wamesema uongo na mara nyingi huwa hata wao wana pick hizo tetesi hapa na kuzibandika kwao?
Najua na wao nimemba hapa wambie walete soft copy kabla hatujaanza mijadala ya huo mkataba.
Inawezekana ni mkataba clean kama vile ilani ambayo mmeipigia kelele mwisho imebainika haikuwa mbaya! Hata Makamba kathibitisha hilo.
Mzee wa BK MJINI gazeti hili halijawahi kushtakiwa ni kati ya magazeti makini TZ.SO FAR ni MWANAHALISI ndio linapelekwa mahakamani kila mara kwa kuandika bila evidence, hukumbuki lilifungiwa miezi mitatu.
Mheshimiwa mbunge hakuna anayelaumu bila kufanya research,naomba usome kitabu cha DR.SIVALON kanisa katoliki na siasa Tanzania,kuna upendeleo wa wazi kabisa baina ya serikali na wakristu.hakuna anayelaumu kwa hisia laa bali kwa ushahidi wa UDINI wa kanisa,soma The Mwembechai killings.
shule kama Forodhani iliyopo Dar-Es-salaam Posta inahitaji matengenezo gani? ok wamerudishiwa kanisa kutokana na hii MOU lakini hivi sasa waislam hawasomi wamezuiliwa.wanasoma wakristu watupu.shule kama Mazengo ilikuwa ina msaada mkubwa kwa watanzania wote hivi sasa imerudi kanisani,Magamba,chuo cha Benki Iringa wamepewa wakristu. na sehemu nyingi sana.
akini shule kama Tambaza,Azania,Jangwani,Zanaki,Lumumba primary school,Mnazi Mmoja shule ya msingi zilikuwa mali ya waislam,hakuna hata moja imerudishwa kwa waislam.
kama ilikuwa MOU imelenga na waislam kupitia Bakwata mbona hakuna sehemu inayoonesha kuwa Bakwata walisaini?
na waislam waliposema wenzetu wamepewa na sisi tumeandaa MOU yetu walifukuzwa,bwana Slaa usawa uko wapi?
Mheshimiwa Mbunge nilitegemea uwe NEUTRAL kwenye hili lakini umeshindwa kuficha UDINI wako na kupendelea upande wako.
well and good kumbe siku zote unajua kuwa Kanisa linatufaika na MOU,kwanini lipokuja suala la Mahakama ya Kadhi usiwaambie wabunge kuwa MOU serikali inasaidia kanisa kwa pesa, basi na hawa wenzetu serikali igharamie fedha kwenye mahakama yao kama inavyofanya kwa kanisa.
mwaka 2006 Lowassa huyo huyo kupitia MOU kaja Marekani na kuchukua bilioni 14 za Hospital ya Bugando.
mwaka 2005 Sumaye alifanya ziara rasmi Marekani ya kidini tu na kutumia milioni 500 kwa shughuli za MOU.
Hospital ya Muhimbili kuna majengo ya waislam kama Sewa hajji na Mwaisela.basi na sisi turudishiwe.
Bwana mbunge siku zote wanapokuwa viongozi wakuu wa kiislam basi choko choko za kanisa hazikosi.mfano barua za kichungaji za maaskofu 1987 wakati wa Mzee Mwinyi na hili la sasa kwa JK mara waraka wa kanisa n.k
lazima tuambiane na kulaumiana ndio dawa sio kunyamaza.
Ukisikia kupiga ikulu ndio huku.Kimyaaaaa,watu wamepotea kabisa na waliopo wanaonekana wamepoteana.Asante kwa kutufunua
Geeque,
..kulingana na maelezo ya Dr.Slaa ni kwamba Bakwata walikuwa wakihudhuria vikao vya majadiliano baina ya serikali na Kanisa.
..nini kilitokea kiasi kwamba ktk MOU Bakwata wala jumuiya yoyote ya Waislamu haipo ni kitendawili kikubwa.
..nadhani watu wa kwanza wa kuwahoji wanapaswa kuwa Bakwata wenyewe. vilevile labda Dr.Slaa anaweza kutusaidia kutupa majibu.
..lakini wakati tunasubiri labda tungejiuliza ni shule zipi na hospitali zipi zilikuwa za madhehebu ya Waislamu na zikataifishwa?
Mkatanba huu hauna dosari yoyote! Unajua serikali inajishughulisha na mambo ya mwili - maendeleo ya watu. Haijishughulishi na mambo ya kiroho (uwanja wa dini). Kumbe wale wote walio tayari kuisadia serikali kuleta maendeleo kwa watu inawajengea mzingira mazuri ili waweze kuisadia katika kuleta maisha bora kwa kila mtanzania.
Wakristo wanajishughulisha na mtu mzima (mwili na roho). Wanahubiri Injili na kujishughulisha na maendeleo ya jamii. Hapa kwenye maendeleo ndipo wanapokutana na malengo ya serikali. Tunakuwa wadau hai, washiriki katika kazi zake. Ndiyo maana inawajengea mazingira ili watoe hizo huduma. Serikali iliingia kwenye MoU kwa shabaha hiyo!
Ndugu zetu waislamu, wao wanajishughlisha ZAIDI na mambo ya kiroho (ibada). Kwa kiwango kikubwa hawana habari na shughuli za maendeleo ya watu (huduma za jamii). Hii inawafanya wasiwe washiriki wakubwa wa serikali kwa sababu hawaiingii katika majukumu ya serikali. Kumbe inakuwa vigumu kwao "kufaidi" mazingira yaliyojengwa na serikali kwa ajili ya wale walio tayari kuisadia katika kuleta maendeleo ya watu. Kulalamika kwao hakuna msingi. Wakitaka kuyatumia mazingira haya lazima waanze kujishughulisha na maendeleo ya watu. Sidhani kama serikali itawakataza.
Tena kwa mtazamo wangu waislamu wakiamua wanaweza kufanya makubwa zaidi kuliko wakristo kwa sababu wanapata misaada mingi sana kutoka nchi za kiarabu. Misada yao ni mikubwa kuliko ya wakristo kutoka ulaya na marekani. Shida ya hawa ndugu zetu ni ubinafsi na vipaumbele. Fedha inaishia kwenye mifuko ya wachache. Na kiasi kinachobaki wanajenga misikiti kila mtaa, tena misikiti mikubwa kuliko ya Dubai. Ndiyo mwisho! Wanapaswa kubadilika, ndiyo wataachana na mambo ya lalamu. Kulalamika hakusaidii. Tufanye kazi jamani!
Geeque,Swali ni Je hii MOU kati ya Serikali na Jumuiya za Kikristo ililenga zaidi kwenye miradi ambayo ilishataifishwa au hata miradi yote ijayo? Kama pia inahusisha miradi yote ijayo kwa nini serikali isiweke mwongozo kwa jumuiya zote za dini mbalimbali na sio jumuiya za Kikristo pekee?
Kwa sababu madai makubwa ya Waislamu ni kwamba walikataliwa na Serikali kuingia nao MOU ilhali Jumuiya za Kikristo zikiwa zimekubaliwa.
Geeque,
Inafaa waislamu waoneshe hiyo MoU yao iliyokataliwa. Tujiridhishe. Tusiandikie mate na wino upo, tutakuwa hatutendi haki. Kama ni kweli walikataliwa basi lazima kulikuwepo sababu NZITO. Vinginevyo siamini wala sielewi kwa nini serikali iwakatalie kama mambo yao wameyaweka sawa. Yawezekana hawakutimiza baadhi ya masharti. Waoneshe sababu kwa nini MoU yao ilikataliwa. Shida wanaishia kusema MoU yao ilikataliwa bila kuonesha sababu zilizotolewa na serikali.