MKAPA: Leo ni nafasi yangu kujisafisha..............

Mtazamaji kwanza nikupongeze kwa kulijua maana ya tafsiri sahihi ya jina langu.....................lakini fedha imeliwa na jengo halina hadhi ya hiyo hela na Mkapa kakiri kuwa yeye ndiye kinara wa kuidhinisha huo ufisadi kwanini yeye asiwe mshtakiwa nambari one......ya radar yako wazi hata hela zimerudishwa na Mkapa alipitisha na huku akijua ni ufisadi kwa sababu hakufuata taratibu za manunuzi..................sasa kwanini yeye asiwe mshtakiwa nambari one na Sumaye nambari two na wajumbe wengineo wa baraza la mawaziri wakafuata? Tatizo la Mkapa anafikiri baraza la mawaziri lipo juu ya sheria jambo ambalo anajidanganya hata yeye hayupo juu ya sheria na anaweza kushtakiwa kwa ufisadi wake wa miaka 10 in power..........

Mambo mengine inabidi tutoke kwenye theory tuangaie uhalisia. Sasa mfano.
  • Issue ya jengo kutokuwa na hadhi Mkapa anahusikavipi moja kwa moja

Issue ya Kuwa Juu ya sheria hilo Lipo wazi. Tanzania hatujafikia hatua ya kuwshitaki Rais na hata PM hata wakistaafu.Kinadharia kweli hawako juu ya sheria lakini Kiuhalisiaa President sometime hata wa USA na nchi ziilzoendelea wako juu kwa namna moja au nyigine.

The worst-best case scenario kwa mkapa au hata JK akiondoka ni labda usanii wa tume kama zile zilizomuweka pembeni Lowasa. Tena kwenye demokrasia hii hata CDMa uCUF wakichukua nchi the likes Mkapa/kikwete hawawezi kukosa usingizi.Hizo sarakasi nyingine watacheza na kina mramba,Yona na Mahalu

Mkapa anaweza kufungwa na utawala wa kijeshi sio wa kidmemorasia regarless chama gani Kinashika dola.

Nadhani umenisoma .
 
Great topic, but probably Prosecutor has called the high profile witness too soon. As the result the focus has been shifted from matters at hand (Uhujum uchumi/Ubadhirifu) to Ufisadi. The question is what happened to the money and where is it?. If we did nationalized property of wakoloni why cant we nationalize ill gained property from public servant. Let the prosecutor not lose focus, I understand the grievance (ukereketwa) posted here before me, yes it is which is warranted, but lets not lose focus.
 
Kwa sasa naamini Mahalu hana hatia! walikubaliana na bosi wake (JK). hivi kwanza kesi za kina Mramba zimeishia wapi?
 
Kwa sasa naamini Mahalu hana hatia! walikubaliana na bosi wake (JK). hivi kwanza kesi za kina Mramba zimeishia wapi?

Tutafika............kama mahalu hana hatia ni nani mwenye hatia?
 
Last edited by a moderator:
Great topic, but probably Prosecutor has called the high profile witness too soon. As the result the focus has been shifted from matters at hand (Uhujum uchumi/Ubadhirifu) to Ufisadi. The question is what happened to the money and where is it?. If we did nationalized property of wakoloni why cant we nationalize ill gained property from public servant. Let the prosecutor not lose focus, I understand the grievance (ukereketwa) posted here before me, yes it is which is warranted, but lets not lose focus.

Mziba aliyemwita ni defence team kama sehemu ya ushahidi wao n aprosecutor alichofanya ni kumhoji tu ingawaje........................DPP did an awful job.......ya kumwuuliza Mkapa maswali
 
Last edited by a moderator:
Mambo mengine inabidi tutoke kwenye theory tuangaie uhalisia. Sasa mfano.

  • Issue ya jengo kutokuwa na hadhi Mkapa anahusikavipi moja kwa moja


Issue ya Kuwa Juu ya sheria hilo Lipo wazi. Tanzania hatujafikia hatua ya kuwshitaki Rais na hata PM hata wakistaafu.Kinadharia kweli hawako juu ya sheria lakini Kiuhalisiaa President sometime hata wa USA na nchi ziilzoendelea wako juu kwa namna moja au nyigine.

The worst-best case scenario kwa mkapa au hata JK akiondoka ni labda usanii wa tume kama zile zilizomuweka pembeni Lowasa. Tena kwenye demokrasia hii hata CDMa uCUF wakichukua nchi the likes Mkapa/kikwete hawawezi kukosa usingizi.Hizo sarakasi nyingine watacheza na kina mramba,Yona na Mahalu

Mkapa anaweza kufungwa na utawala wa kijeshi sio wa kidmemorasia regarless chama gani Kinashika dola.

Nadhani umenisoma .
[MENTION]
Mtazamaji[/MENTION].......ubora wa jengo ni issue kama sheria ya manunuzi ilikiukwa...................na hivyo kufifilisha ushindani ujuavyo bila ya ushindani bidhaa na huduma huwa mbovu na hupatikana kwa bei ghali..........Mkapa na cabinet yake is guilty of reckless disregard of the laws of the land......................kinga ya Mkapa tafsiri sahihi yaweza kutolewa na High Court..............................nijuavyo huwezi ukavunja sheria ukafikiri unakinga...................kinga ya Mkapa ipo kwenye maeneo ambayo mahakama itaona alifanya yale yote anayotuhumiwa kwa nia njema.....................ultimately, Mkapa will have his day in court it will be up to the courts to judge his court............................but be4 we get there we need judicial reforms which are key in prosecuting both Mkapa and JK.................
 
Wanaweza kupiga chenga mahakama za binadamu, lakini mahakama ya Mungu haikimbiliki, haijibiwi kifedhuli, haitolewi rushwa. Na kuna msemo, kwa kujipa moyo, Mungu atawahukumu hapa hapa, akhera kunakwenda hesabu tu.
Watanzania hatustahiki kutendewa haya. Vilio vyetu vitageuka kuwa laana kwao. Wangepaswa kulijua hilo-

MAMMAMIA uko sahihi Mwenyezi mungu ndiyo the truthful judge over these matters.................
 
Last edited by a moderator:
ani kwa jinsi nilivotibuka bora nikanywe ma konyagi tu..nikamalizie hasira kwa mama gaude
 
Kuna watu wanatabia ya ku underestimate watu wengine pasipo hata kujua uwezo wao. I think Mkapa anawaangalia vibaya watanzania...siyo vile anavyowafikiria kwa maana wametulia hawafanyi fujo basi hawanazo kichwani.
 
basi kama huyu ameitwa na defense basi nadhani kitumbua chao kina mchanga. mbona wanaonyesha turufu zao mapema namna hii. baadae watakua na nini. ebo, nadhani wametifua. Acha tuangalie kesi na ufundi.
 
Rutashubanyuma haya mambo mengine yanaweza yakaharibu siku yako
Maana kama system ndio iko hivi jua kuna madudu mengi tuu yanafanyika ambayo tunaona ni halali kumbe sio
Na hili ni katika kila sekta kuanzia manunuzi yanayofanywa na halmashauri za wilaya, manispaa na majiji yetu
Wizarani huko ndio usiseme ni balaa tupu
 
The way these friends are bullying us, its like there is a special designated heaven for them, which will be free of judgement, tormenting, and eternal fire!
Nyie bana hapa ndo tunapokosana mimi na nyie.........yani mtu atutie katika umasikini halafu mnaongelea heaven and hell?
kwamba tumewashindwa, ume surender kabisa na sasa unamuachia Mungu akamchome Mkapa huko kunakoitwa Hell???!!

Acheni utani bana, huyu ni Jizi na tutamshughulikia hapa hapa muda muafaka ukifika,.......tunatakiwa tumuombee kwa huyo Mungu ili asife kabla Tanzania haijaona mwanga, ili tumshughulikie wenyewe hapa hapa!!!
 
Nakubaliana na Bigirita,

Hakuna la kumuachia Mungu na wote mnaosema Mungu hapa hebu muondoke kabisa na Mshindwe kwa jina la JAMHURI.

Haya mambo ya ukipigwa shavu moja unageuza jingine ndiyo yaliyotufikisha hapa tulipo, ovyo kabisa.

Alichokifanya Mkapa unaweza kukiweka NUSU NUSU. Upande mmoja ni kweli alitaka kuokoa hela ya Tanzania na kuikosesha Italy pesa za kodi na upande wa pili, waliongeza pesa zaidi na hivyo Mahalu na genge lake kujichotea hizo pesa maana hizo pesa hazikuwepo kwenye rekodi yeyote.

Ila hiyo nusu ya wema wa Mkapa/Mahalu kwa Jamhuri ya Tanzania inakufa pale unapokumbuka Madudu ya Mkapa na RADA. Kwa vyovyote vile, Mahalu na Mkapa walipandisha bei ya nyumba ili wavune kama ilivyo kwenye RADA. Makapa ni Mwizi fullstop na siku zote anatumia dawa ileile kuwa "Njia nzuri ya kujitetea ni KUSHAMBULIA."

BTW: Bigirita, naona umeweka AVATAR ya Wendi wangu. Huyo Mbwa bana hadi anatia huruma :(
Nyie bana hapa ndo tunapokosana mimi na nyie.........yani mtu atutie katika umasikini halafu mnaongelea heaven and hell?
kwamba tumewashindwa, ume surender kabisa na sasa unamuachia Mungu akamchome Mkapa huko kunakoitwa Hell???!!

Acheni utani bana, huyu ni Jizi na tutamshughulikia hapa hapa muda muafaka ukifika,.......tunatakiwa tumuombee kwa huyo Mungu ili asife kabla Tanzania haijaona mwanga, ili tumshughulikie wenyewe hapa hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom