Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mstaafu Mkapa akichukua nafasi ya kipekee mahakamani kwenda kutetea ufisadi ndani ya serikali yake pale Kisutu mahakamani ambako swahiba wake Profesa Mahalu alimtegemea amnasue......................utetezi wa Mkapa kimsingi ni kuwa yeye na baraza la mawaziri haliwajibiki chini ya sheria ya manunuzi na wanayo mamlaka ya kufanya watakavyo........................it was the most incriminating evidence one could think of......................eti baraza la mawaziri liliidhinisha ufisadi kwa hiyo mtuhumiwa hana kesi ya kujibu!!!!!!!!!! Takukuru kama inafanyakazi basi Mkapa ni wa kumuunganisha kwenye hii kesi siyo kama shahidi bali mtuhumiwa nambari one...............Lakini tunajua Takukuru haiko huru kwa hiyo itaukubali ushahidi wa bosi na Mahalu is technically free but let us not forget Mkapa will one day answer to his Maker.....................I can't wait to see him being dumped in hell..................despite his futile defence before God..................