Shida ni kuwa Lowassa ni mwizi
Lowassa hajawahi kuisaliti CCM na hatokuja kuisaliti milele.
Joto kuelekea uchaguzi mkuu 2015 linazidi kupanda. Kati ya mtu anayetajwa sana kugombea katika nafasi ya urais ni Edward Lowassa.
Pamoja na tafiti nyingi rasmi na zisizo rasmi kuonesha kuwa EL anaongoza kwa kuaminiwa na kupendwa na watanzania wengi, CCM inaonekana kwa siri na kwa dhahiri kutokumhitaji Lowassa.
Na kwa kuwa Lowassa anataka kuwatumikia watanzania na watanzania wanamhitaji yeye.. Ni ushauri wangu kuwa, kama CCM wakimzingua abadili uelekeo na kuelekea UKAWA ama Chama kingine chochote.
Nina imani EL atashinda 2015 iwe kupitia CCM, ukawa ama Chama kingine chochote.
Shetani hawezi kuungana na malaika