View attachment 44740
Aisha Khamisi Mbaula anayedaiwa kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, Meja John Tawete (45), akifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanajeshi huyo.
Huyu dada anachomoka mzima mzima, akipata wakili mzuri, wanatengeneza good papework na kuiback date kuwa miaka ya nyuma aliwahi kurukwa na akili. Hivyo siku ya tukio alifanya mauaji yale due to procation na wakati anachoma kisu alikuwa tayari kwenye state ya insanity, ataachiwa!.aisee huyu dada namuonea huruma kwenye hii kesi hachomoki yaani kaua mjeda? Ana hali mbaya
sura za kikurya hizo
aisee sisi wanaume vimeo sana. Hebu chekishia huo mzigo ulivyo lakini wapi, jamaa akaamua akakamate kitu kingine na umauti nao ukapiga hodi. Masikini mjeda hakupata hata muda wa kutubu hiyo dhambi aloitenda. Sijui itakuwaje mbele ya Maulana!
View attachment 44740
Aisha Khamisi Mbaula anayedaiwa kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, Meja John Tawete (45), akifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanajeshi huyo.
Linaonekana linapenda shari, lakini heri yake kamuua wazi wazi, kuliko hawa wanaotuwekea sumu kwenye vilaji!View attachment 44740
Aisha Khamisi Mbaula anayedaiwa kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, Meja John Tawete (45), akifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanajeshi huyo.
Alikuwa mumewe au mapozeo tu aka ATM?Huyo dada ameweka historia...mume wake wa kwanza alifungwa baada kumchoma kisu mwanaume aliefumaniwa na huyu dada.....mara hii sasa dada nae anaenda ndani ameua mwanaume ambae amemfumania na ka binti!!!!kama senema vile!!
huyo dada ameweka historia...mume wake wa kwanza alifungwa baada kumchoma kisu mwanaume aliefumaniwa na huyu dada.....mara hii sasa dada nae anaenda ndani ameua mwanaume ambae amemfumania na ka binti!!!!kama senema vile!!
Yaani huyu Mjeda sifuri kabisa yeye akawachanganya mtu na shoga yake.huyu dada na mwanamke aliyemfumania wanafanya kazi ya huduma ya chakula katika kikosi hicho cha anga.mjeda akavutiwa na Aisha wakaanzisha uhusiano hajakaa vizuri akaanzisha uhusiano na mwenzake na aisha,Naona aisha wivu ukamzidi akaja kulianzisha na kumuua Mjeda,sijui kwanini aliamua kudili na mjeda badala ya huyo msichana mwingine anayefanya nae kazi.Ila mjeda nae mpaka kufikia umri huo bado tu alikuwa yupo yupo hakuna cha ndoa wala nini!
View attachment 44740
Aisha Khamisi Mbaula anayedaiwa kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, Meja John Tawete (45), akifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanajeshi huyo.