Aiseeeeeeee mimi nimemzimikia ngoja nifanye mpango apate wakili wa ukweli, hii ngoma anachomoka....
Umejuaje kuwa ni shangingi? Acha wivu, hiyo figa isikufanye umfikirie kuwa ni shangingi ndugu
Aisay kuna bonge la movie scripts hapo, itabidi nimtafute producer/director wa film za kihindi hapa kuna big deal.Huyo dada ameweka historia...mume wake wa kwanza alifungwa baada kumchoma kisu mwanaume aliefumaniwa na huyu dada.....mara hii sasa dada nae anaenda ndani ameua mwanaume ambae amemfumania na ka binti!!!!kama senema vile!!
Inaelekea huyu mdada fundi kule kunako 6x6.
Yaani huyu Mjeda sifuri kabisa yeye akawachanganya mtu na shoga yake.huyu dada na mwanamke aliyemfumania wanafanya kazi ya huduma ya chakula katika kikosi hicho cha anga.mjeda akavutiwa na Aisha wakaanzisha uhusiano hajakaa vizuri akaanzisha uhusiano na mwenzake na aisha,Naona aisha wivu ukamzidi akaja kulianzisha na kumuua Mjeda,sijui kwanini aliamua kudili na mjeda badala ya huyo msichana mwingine anayefanya nae kazi.Ila mjeda nae mpaka kufikia umri huo bado tu alikuwa yupo yupo hakuna cha ndoa wala nini!View attachment 44740
Aisha Khamisi Mbaula anayedaiwa kumuua askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kikosi cha Anga, Meja John Tawete (45), akifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanajeshi huyo.
huyo dada ameweka historia...mume wake wa kwanza alifungwa baada kumchoma kisu mwanaume aliefumaniwa na huyu dada.....mara hii sasa dada nae anaenda ndani ameua mwanaume ambae amemfumania na ka binti!!!!kama senema vile!!
Huyo dada ameweka historia...mume wake wa kwanza alifungwa baada kumchoma kisu mwanaume aliefumaniwa na huyu dada.....mara hii sasa dada nae anaenda ndani ameua mwanaume ambae amemfumania na ka binti!!!!kama senema vile!!
yaani ni muvi la ukweli!
hasiri hasara.
hasiri hasara.
aisee huyu dada namuonea huruma kwenye hii kesi hachomoki yaani kaua mjeda? Ana hali mbaya
Limekaa kishali shali