Mkatavimeo
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 2,150
- 868
Asente!Ili mradi wasicheze faulo....kama kuchukua waume za watu au vitoto vidogo ambavyo mama zao hawajamaliza kazi ya kuviosha tongotongo kwenye macho!!
Babu DC!!
Asente!Ili mradi wasicheze faulo....kama kuchukua waume za watu au vitoto vidogo ambavyo mama zao hawajamaliza kazi ya kuviosha tongotongo kwenye macho!!
Babu DC!!
Unajua Dark City, mwanamume umri ukienda anaweza bado kuoa binti ambaye anamzidi 20yrs, lkn mwanamke akiwa hata na mwanaume wanayepishana 7 yrs (she has to be rich ili kumpata huyo kaka), jamii inamuangalia kwa macho mawili. Na mbaya zaidi wazee wenzake (wanaume) go for younger girls hivyo huishia au kuokoka (kumpenda Yesu) au kuiba waume za watu au kutafuta viserengeti boys!
Mimi nafikiri jamii iwaruhusu wabibi nao wamiliki viSBs na ukizingatia vijana wa sasa hivi wanapenda mteremko, au unaonaje Babu DC?
Unajua Dark City, mwanamume umri ukienda anaweza bado kuoa binti ambaye anamzidi 20yrs, lkn mwanamke akiwa hata na mwanaume wanayepishana 7 yrs (she has to be rich ili kumpata huyo kaka), jamii inamuangalia kwa macho mawili. Na mbaya zaidi wazee wenzake (wanaume) go for younger girls hivyo huishia au kuokoka (kumpenda Yesu) au kuiba waume za watu au kutafuta viserengeti boys!
Mimi nafikiri jamii iwaruhusu wabibi nao wamiliki viSBs na ukizingatia vijana wa sasa hivi wanapenda mteremko, au unaonaje Babu DC?
Aaaha Kaunga umenikumbusha wabibi wa ulaya wanavyomiliki viSBs vya kiafrica huku ughaibuni
Hi to all, napenda kuchukua nafasi hii kwenu kuomba ushauri juu ya sula la wanawake pindi wanapo ondokewe na waume zao mbona jamii inaangalia kwa mtazamo tofauti sana, tofauti na wanaume wanapofiwa na wake zao? Pili ni muda gani unafaa kwa mwanamke aliyefiwa na mume kuweza kuingia tena kwenye mahusiano na mwanaume mwingine?
Malizia basi Kaunga...
Na huyo watakayependana asiwe kijana mdogo (single) au mume wa mtu....!!!
Babu DC!!