Dear Willie,The the point that aanze Slaa wengine wafuate is way too low for you to make for the following reasons:1.The rulling party and government-responsible for the revenues and expenditures has very awkwardly rejected the move in parliment, contradicting their own promise for additional revenues and reduced expenditures. Sasa nani amkate Slaa kodi, na nani atakayeiga? PM, AG, na wabunge wa CCM ndipo watakapoelewa umhimu wa hili suala?It sounds like u are making awkward ridicule of an important topic!2.Hoja yako ya Taifa kwanza iko wapi? Kama kweli unaimaanisha, rejea my first bullet na urevisit coment yako. Pili, mtetea maslahi ya Taifa yeyote atatambua living champions wakuu wa kutetea maslahi ya taifa hili-akiwemo Slaa-na atawaheshimu. Unapochomeka vijembe juu yake ktk serious topic unajitia madoa na unafanya tu watu wakushangae/wakutilie shaka zaidi!- Watumishi wote wa Serikali wakatwe kodi, ndio iliyokuwa hoja yangu ya msingi niliposema kufutwa vyama vyote vya siasa nchini thaanks mbunge kwa kunielewa!, sasa mfano uanzie kwa kilipia kodi mshahara wa Dr. Slaa na wengine watafuata tu!Willie @ NYC, USA.