Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Kule Bungeni wangekuwepo wabunge makini wa upinzani Kama enzi zile Makamanda Mbowe, Heche, Lema, Msigwa, Sugu, Mnyika, Kamanda Lissu na wengineo CCM wasinge pata muda huu wa kufanya utoto Bungeni.
Sasa hivi huko Bungeni Kuna kikundi cha watu kimejikusanya na kujiita ni wabunge na baada ya kulipwa fedha za walipa Kodi na kuvimbiwa wanabinuka sarakasi miguu juu kichwa chini na wengineo Kama vile kindergarten vinajiliza liza tuu yaani bongo raha Sanaa.
Hili ndilo Bunge Magufuli alilo tuletea akidai wapinzani walituchelewesha sana. Ndio bunge linalo onesha Legacy ya Magufuli kwa namna moja au nyingine nchi imerudi hatua nyingi nyuma.
Wakati wapinzani wakiwepo Bungeni Bunge lilizima kurusha matangazo live lakini Sasa matangazo yake yamerudishwa kurushwa live ili wananchi tunao walipa posho na mishahara watuonesha viroja hivi vya sarakasi na wengineo kulia lia bila sababu.
Maendeleo hayana Vyamaa.
Sasa hivi huko Bungeni Kuna kikundi cha watu kimejikusanya na kujiita ni wabunge na baada ya kulipwa fedha za walipa Kodi na kuvimbiwa wanabinuka sarakasi miguu juu kichwa chini na wengineo Kama vile kindergarten vinajiliza liza tuu yaani bongo raha Sanaa.
Hili ndilo Bunge Magufuli alilo tuletea akidai wapinzani walituchelewesha sana. Ndio bunge linalo onesha Legacy ya Magufuli kwa namna moja au nyingine nchi imerudi hatua nyingi nyuma.
Wakati wapinzani wakiwepo Bungeni Bunge lilizima kurusha matangazo live lakini Sasa matangazo yake yamerudishwa kurushwa live ili wananchi tunao walipa posho na mishahara watuonesha viroja hivi vya sarakasi na wengineo kulia lia bila sababu.
Maendeleo hayana Vyamaa.