Wed
JF-Expert Member
- Mar 7, 2011
- 315
- 266
Je, ni halali viongozi wanaotarajiwa kuzijua sheria kama Mwanasheria MKUU WA Serikali kutumia maneno ya kejeli na ya tharau kwa Wabunge wenzake hasa wale wa CHADEMA ?
Hebu fikiria imefikia hata Spika Makina pamoya na upendeleo wake wa wazi kwa CCM ameamua kukemea kitendo cha Warema
Swali : Nini hatua anayopaswa kuchukuliwa huyu Warema kwa Ubabe wake ?
Si huyu huyu alikuwa na kiburi cha kusema ati Tanzania haihitaji katiba Mpya ?
Taarifa kamili soma hapa :
Jaji Werema achafua hali ya hewa bungeni
Hebu fikiria imefikia hata Spika Makina pamoya na upendeleo wake wa wazi kwa CCM ameamua kukemea kitendo cha Warema
Swali : Nini hatua anayopaswa kuchukuliwa huyu Warema kwa Ubabe wake ?
Si huyu huyu alikuwa na kiburi cha kusema ati Tanzania haihitaji katiba Mpya ?
Taarifa kamili soma hapa :
Jaji Werema achafua hali ya hewa bungeni