Josephat Sanga
Senior Member
- Aug 29, 2016
- 151
- 97
TARIFA FUPI YA MWEZI MACHI 2017 KUHUSU MAENDELEO YA MRADI WA TUSHIRIKISHANE KATIKA JIMBO LA NZEGA MJINI
Mradi unaendelea vizuri kama tarifa ya awali ilivyotoka kuwa katika ahadi nne ambazo zilikubalika ziwe sehemu ya mradi huu katika Jimbo la Nzega ahadi moja tayali utekekezaji wake umekamilika kwa asiliamia mia ahadi hiyo ilikuwa hii hapa
= Kukamilisha mpango wa muda mfupi wa upatikanaji wa Maji safi na salama-Nzega kwa kuongeza mita za ujazo 1300
Utekelezaji wake ahadi hiyo umekamika mwezi uliopita mwezi wa tatu mwaka 2017 ikiwa ni miezi saba tu tangu mradi uanze
Ahadi nyingine tatu ambazo bado azijakamilika ila na utekelezwaji wake bado unaendelea chini ya mradi wa Tushirikishane katika jimbo la Nzega mjini ni hizi zifuatazo
A) Kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha mabasi-Nzega
Kazi inayoendelea katika ahadi hii ni kukamilisha mchakato wa kutangaza wazabuni walioshinda zabuni ya ujenzi wa vibanda vya Biashara katika eneo la kituo cha mabasi
B) Ujenzi wa Nyumba ya Daktari-Kituo cha Afya Nhobora
Ujenzi wa nyumba ya mganga jengo limeshakamilika na bati tayali limepigwa hatua inayofuata kwa sasa ni upigaji ripu pamoja na uwekaji wa mirango na madirisha
C) . Kukamilisha mabweni na madarasa ya kidato cha 5&6-Sekondari ya Bulunde
Ujenzi wa mabweni tayali umekamilika na katika hatua ya kusimamisha mabweni na kuyapaua hatua iliyobakia ni upigaji wa plasta pamoja na uwekaji wa milango na madirisha, vile vile hatua nyingine inayofuata ni kuanzisha ujenzi wa ukumbi wa wanafunzi zoezi la ujenzi huu wa ukumbi unaweza kuaza mda wowote kuanzia sasa.
Mradi unaendelea vizuri kama tarifa ya awali ilivyotoka kuwa katika ahadi nne ambazo zilikubalika ziwe sehemu ya mradi huu katika Jimbo la Nzega ahadi moja tayali utekekezaji wake umekamilika kwa asiliamia mia ahadi hiyo ilikuwa hii hapa
= Kukamilisha mpango wa muda mfupi wa upatikanaji wa Maji safi na salama-Nzega kwa kuongeza mita za ujazo 1300
Utekelezaji wake ahadi hiyo umekamika mwezi uliopita mwezi wa tatu mwaka 2017 ikiwa ni miezi saba tu tangu mradi uanze
Ahadi nyingine tatu ambazo bado azijakamilika ila na utekelezwaji wake bado unaendelea chini ya mradi wa Tushirikishane katika jimbo la Nzega mjini ni hizi zifuatazo
A) Kukamilisha ujenzi wa kituo kipya cha mabasi-Nzega
Kazi inayoendelea katika ahadi hii ni kukamilisha mchakato wa kutangaza wazabuni walioshinda zabuni ya ujenzi wa vibanda vya Biashara katika eneo la kituo cha mabasi
B) Ujenzi wa Nyumba ya Daktari-Kituo cha Afya Nhobora
Ujenzi wa nyumba ya mganga jengo limeshakamilika na bati tayali limepigwa hatua inayofuata kwa sasa ni upigaji ripu pamoja na uwekaji wa mirango na madirisha
C) . Kukamilisha mabweni na madarasa ya kidato cha 5&6-Sekondari ya Bulunde
Ujenzi wa mabweni tayali umekamilika na katika hatua ya kusimamisha mabweni na kuyapaua hatua iliyobakia ni upigaji wa plasta pamoja na uwekaji wa milango na madirisha, vile vile hatua nyingine inayofuata ni kuanzisha ujenzi wa ukumbi wa wanafunzi zoezi la ujenzi huu wa ukumbi unaweza kuaza mda wowote kuanzia sasa.