TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

IMG-20170727-WA0004.jpg
meneja Wa maji nzega akionyesha timu ya Jamii Forum moja ya chujio la maji lilojengwa kipindi cha mradi wa Tushirikishane katika mji wa Nzega
 
IMG-20170727-WA0002.jpg
Timu ya Jamii Forum, katibu wa mbunge na baadhi ya wadau wa maendeleo katika jimbo la nzega wakijadili mambo baada ya kupitia maendeleo ya ahadi zilizopo katika mradi wa Tushirikishane katika jimbo la Nzega mjini
 

Attachments

  • IMG-20170730-WA0008.jpg
    IMG-20170730-WA0008.jpg
    74.2 KB · Views: 79
IMG-20170724-WA0056.jpg
Timu ya Jamii Forum pichani ni bwana Wiston Moga akitoa semina kwa wadau wa maendeleo jimboni nzega jinsi gani ya kugeuza vijiwe vya vyao vya mazungumzo ya jioni kuwa vikundi malumu vinanavyotambulika kisheria, ambavyo wataweza jadili masuala ya maendeleo ya jimbo la nzega na inchi kwa ujumla kwa kufuata sheria za inchi pasipo tatizo lolote

Wadau hawa ni kutoka vijiwe marufu mjini nzega wapo kutoka kijiwe cha Kahawa BBC, kijiwe cha kahawa Parking, na kijiwe cha Kagawa chá stedi ya mabasi Nzega.
IMG-20170724-WA0031.jpg
wadau katika ssemina
IMG-20170724-WA0080.jpg
Bwana Wiston Moga akiwa katika kijiwe cha kahawa BBC nzega akizidi toa semina
IMG-20170724-WA0079.jpg
wadau wa maendeleo katika jimbo la nzega katika kijiwe cha kahawa BBC nzega wakifuatilia semina kwa umakini
IMG-20170724-WA0071.jpg
IMG-20170724-WA0064.jpg
IMG-20170724-WA0041.jpg
IMG-20170724-WA0041.jpg
Picha ya pamoja ya wadau waliohudhuria semina hiyo
 
Elimu pia ni jambo mtambuka katika jimbo la nzega mjini, nimepata habari ambayo kidogo nimeona kwa mtazamo wangu haki haikutamalaki hata kidogo.

Nazungumzia wadau wa maendeleo hususan watumishi wa kata ya ITILO njia ya kuelekea Tabora mjini takriban km 3-5 hivi ambao huishi mjini na vituo vyao vya kazi vikiwa nzega mjini na wengi wao ni walimu.

Nazungumzia taarifa nilizopata pasi na shaka juu ya kota ya nyumba za WACHINA. Haiingii akilini kusikia/kuona kuna watumishi wa kata zingine wamepewa kipaumbele kuingia kwenye nyumba za kwa wachina wakati watumishi wa kata husika wameachwa watumishi wanaofanya kazi halmashauri na kwingine ndio wamejaa mule ndani.

Ingependeza kama wale walimu wa kata ile wangepewa wasogee karibu na kituo chao cha kazi na ikizingatiwa kota zipo kwenye kata yao. Penye ukweli uongelewe.

Kuna walimu wa Ijanija wanaishi mule na mmoja 'inasemekana' alikua anaishi pale shuleni kabisa lakini amepata nafasi kwa wachina na wa ITILO wanaishi mjini.

Mekanizim iliyotumika kugawa nyumba iligubikwa na rushwa na kujuana kwingi na viongozi wamebariki. Nasema hivyo kwasababu hakuna kigezo chochote kilichotumika na kibaya zaidi ilifanyika kwa siri na ilikua kipindi cha likizo kwa mujibu wa watoa taarifa.

Maajabu makubwa zaidi ni kusikia kuna waratibu na mameki wenzangu wanaishi kwa wachina. Kimsingi hawa ni watumishi ambao kwanza wamepewa usafiri na serikali, wana posho ya laki 250,000/= {laki mbili na nusu} na zingine za vikao wanavyokaa. Inawezekanaje wanakabe nafasi ambazo kama haki ingetendeka walimu ambao hawana motisha yoyote wa kata husika ndio walipaswa kusogezwa karibu na kituo cha kazi?

Nashauri hili litazamwe upya jamani na wahusika kama ni diwani kata ile na mtendaji wake wakae waone cha kufanya haijakaa sawa na inawapunguzia dhana ya uwajibikaji lakini pia viongozi wengine walitazame hili suala.

Mkurugenzi naamini limepitia ofisini kwake lakini hajafuatilia kwa kina kinachoendelea pale. Ukiritimba ni mkubwa sana.

Mwisho, walioko pale hawana huduma ya umeme na maji, wakipata ushauri na sapoti ya kufunga luku pale itapendeza kwani umeme upo lakini wachina wamediskonekti nyumba walizoingia. La maji nalo ni kubwa kidogo kwani ni la Nzega yote ispokua kwa pale kisima kitatatua changamoto hiyo.

Nimalize kwa kusisitiza watu wenye posho na usafiri wa serikali jamani wawaonee huruma wenzao tusiwe wabinafsi kiasi hicho. Tuwaachie watumishi kwanza wa kata husika wakae karibu na vituo vya kazi.

#naomba_kuwaslisha.
 
Elimu pia ni jambo mtambuka katika jimbo la nzega mjini, nimepata habari ambayo kidogo nimeona kwa mtazamo wangu haki haikutamalaki hata kidogo.

Nazungumzia wadau wa maendeleo hususan watumishi wa kata ya ITILO njia ya kuelekea Tabora mjini takriban km 3-5 hivi ambao huishi mjini na vituo vyao vya kazi vikiwa nzega mjini na wengi wao ni walimu.

Nazungumzia taarifa nilizopata pasi na shaka juu ya kota ya nyumba za WACHINA. Haiingii akilini kusikia/kuona kuna watumishi wa kata zingine wamepewa kipaumbele kuingia kwenye nyumba za kwa wachina wakati watumishi wa kata husika wameachwa watumishi wanaofanya kazi halmashauri na kwingine ndio wamejaa mule ndani.

Ingependeza kama wale walimu wa kata ile wangepewa wasogee karibu na kituo chao cha kazi na ikizingatiwa kota zipo kwenye kata yao. Penye ukweli uongelewe.

Kuna walimu wa Ijanija wanaishi mule na mmoja 'inasemekana' alikua anaishi pale shuleni kabisa lakini amepata nafasi kwa wachina na wa ITILO wanaishi mjini.

Mekanizim iliyotumika kugawa nyumba iligubikwa na rushwa na kujuana kwingi na viongozi wamebariki. Nasema hivyo kwasababu hakuna kigezo chochote kilichotumika na kibaya zaidi ilifanyika kwa siri na ilikua kipindi cha likizo kwa mujibu wa watoa taarifa.

Maajabu makubwa zaidi ni kusikia kuna waratibu na mameki wenzangu wanaishi kwa wachina. Kimsingi hawa ni watumishi ambao kwanza wamepewa usafiri na serikali, wana posho ya laki 250,000/= {laki mbili na nusu} na zingine za vikao wanavyokaa. Inawezekanaje wanakabe nafasi ambazo kama haki ingetendeka walimu ambao hawana motisha yoyote wa kata husika ndio walipaswa kusogezwa karibu na kituo cha kazi?

Nashauri hili litazamwe upya jamani na wahusika kama ni diwani kata ile na mtendaji wake wakae waone cha kufanya haijakaa sawa na inawapunguzia dhana ya uwajibikaji lakini pia viongozi wengine walitazame hili suala.

Mkurugenzi naamini limepitia ofisini kwake lakini hajafuatilia kwa kina kinachoendelea pale. Ukiritimba ni mkubwa sana.

Mwisho, walioko pale hawana huduma ya umeme na maji, wakipata ushauri na sapoti ya kufunga luku pale itapendeza kwani umeme upo lakini wachina wamediskonekti nyumba walizoingia. La maji nalo ni kubwa kidogo kwani ni la Nzega yote ispokua kwa pale kisima kitatatua changamoto hiyo.

Nimalize kwa kusisitiza watu wenye posho na usafiri wa serikali jamani wawaonee huruma wenzao tusiwe wabinafsi kiasi hicho. Tuwaachie watumishi kwanza wa kata husika wakae karibu na vituo vya kazi.

#naomba_kuwaslisha.
du mdau hii kitu siyo Hussen Bashe njoo usome hii kitu uku
 
Hivi hii tushirikishane nzega ishaga isha au maana kituo kipya cha mabasi mpaka leo kimya au wanasubilia uchaguzi
 
Elimu pia ni jambo mtambuka katika jimbo la nzega mjini, nimepata habari ambayo kidogo nimeona kwa mtazamo wangu haki haikutamalaki hata kidogo.

Nazungumzia wadau wa maendeleo hususan watumishi wa kata ya ITILO njia ya kuelekea Tabora mjini takriban km 3-5 hivi ambao huishi mjini na vituo vyao vya kazi vikiwa nzega mjini na wengi wao ni walimu.

Nazungumzia taarifa nilizopata pasi na shaka juu ya kota ya nyumba za WACHINA. Haiingii akilini kusikia/kuona kuna watumishi wa kata zingine wamepewa kipaumbele kuingia kwenye nyumba za kwa wachina wakati watumishi wa kata husika wameachwa watumishi wanaofanya kazi halmashauri na kwingine ndio wamejaa mule ndani.

Ingependeza kama wale walimu wa kata ile wangepewa wasogee karibu na kituo chao cha kazi na ikizingatiwa kota zipo kwenye kata yao. Penye ukweli uongelewe.

Kuna walimu wa Ijanija wanaishi mule na mmoja 'inasemekana' alikua anaishi pale shuleni kabisa lakini amepata nafasi kwa wachina na wa ITILO wanaishi mjini.

Mekanizim iliyotumika kugawa nyumba iligubikwa na rushwa na kujuana kwingi na viongozi wamebariki. Nasema hivyo kwasababu hakuna kigezo chochote kilichotumika na kibaya zaidi ilifanyika kwa siri na ilikua kipindi cha likizo kwa mujibu wa watoa taarifa.

Maajabu makubwa zaidi ni kusikia kuna waratibu na mameki wenzangu wanaishi kwa wachina. Kimsingi hawa ni watumishi ambao kwanza wamepewa usafiri na serikali, wana posho ya laki 250,000/= {laki mbili na nusu} na zingine za vikao wanavyokaa. Inawezekanaje wanakabe nafasi ambazo kama haki ingetendeka walimu ambao hawana motisha yoyote wa kata husika ndio walipaswa kusogezwa karibu na kituo cha kazi?

Nashauri hili litazamwe upya jamani na wahusika kama ni diwani kata ile na mtendaji wake wakae waone cha kufanya haijakaa sawa na inawapunguzia dhana ya uwajibikaji lakini pia viongozi wengine walitazame hili suala.

Mkurugenzi naamini limepitia ofisini kwake lakini hajafuatilia kwa kina kinachoendelea pale. Ukiritimba ni mkubwa sana.

Mwisho, walioko pale hawana huduma ya umeme na maji, wakipata ushauri na sapoti ya kufunga luku pale itapendeza kwani umeme upo lakini wachina wamediskonekti nyumba walizoingia. La maji nalo ni kubwa kidogo kwani ni la Nzega yote ispokua kwa pale kisima kitatatua changamoto hiyo.

Nimalize kwa kusisitiza watu wenye posho na usafiri wa serikali jamani wawaonee huruma wenzao tusiwe wabinafsi kiasi hicho. Tuwaachie watumishi kwanza wa kata husika wakae karibu na vituo vya kazi.

#naomba_kuwaslisha.
Wivu tu hakuna kingine
 
Back
Top Bottom