Yap kafungua chuo cha afya na kimeanza mafunzo tayari kipo uchama .Ni kama niliona Mh. Kigwangala amefungua chuo cha afya pale Nzega kama sikosei
Hata mimi ningependa mkuu Josephat Sanga atupe majibu ya hili sisi wadau wa TushirikishaneImekuwaje tena halmashauri watangaze tena zabuni ikiwa awali walitangaza na wakafunga kipi kimetokea ebu tupeni majibu tujue isije kuwa Kuna tatizo hapo
hakuna tatizo zurie majibu utayapata mda si mrefuHata mimi ningependa mkuu Josephat Sanga atupe majibu ya hili sisi wadau wa Tushirikishane
na kwako pia mdauWana Nzega vp katibu wa mbunge na afisa habari kimya shwari lakini....Niwatakie Sikukuu njema na heri na baraka nyingi ktk 2017. Natumai 2017 utakuwa wa mafanikio zaidi
Majembe majembe nikuondoe hofu kuhusu swali lako mda si mrefu ndani ya wiki hii utapatiwa majibu kuhusu swali lakoKwaiyo hiyo stand itakuwa ni vumbi siyo rami au maana mpaka geti na kibanda kinajengwa ina maana mda si mrefu itaanza kazi, na katika magari yana simama ni moram tu je ndio itakuwa hivyo tupeni tarifa tujue